Kale kaharufu una kaondoaje?

Kwa kawaida harufu ile ni fungus kuna dawa wakitumia kwa siku kadhaa inaondoa fungus na kubaki na natural odor ambayo sio kali na si ya kukera kama unavyosema, lakini bado kwa kila mwanamke haiyumkini kua mbunifu katika kuboresha mwonekano, mvuto na haiba pia.
 
me najua tupu ya mwanamke lazima iwe na harufu, ila ikizidi ndo inakua mbaya....
mwanamke anatakiwa ajisafishe vizur tu kuondoa harufu ya ziada , lakini harufu ya asili inatakiwa ibakie
hapo ukizama chumvini utafurahi na roho yako....
 

hii kariiii na nimeskia leo?harufu gan iyo wajamen?
 
me najua tupu ya mwanamke lazima iwe na harufu, ila ikizidi ndo inakua mbaya....
mwanamke anatakiwa ajisafishe vizur tu kuondoa harufu ya ziada , lakini harufu ya asili inatakiwa ibakie
hapo ukizama chumvini utafurahi na roho yako....

jaman harufu gani iyo mbana mm sina?
 

tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe kweli inapikwa
 

!
!
nakapendaje hako kaharufu,nakapenda balaa ija kasiwe consentretedi. Yani tupu iwe imeoshwa vizuri na maji tu bila hata sabuni.
Dah.....shkamoo ng'onda, habari za usiku anko ulimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…