Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Najua wazi Askofu AbdulHalim itakuuma sana, lakini huo ndio Ukweli. Tunamtaka Pengo na kabineti yake wagombee uongozi au waseme wazi nani kiongozi mzuri ili tumchague na watukataze kuchagua viongozi fulani ambao ni wabaya.
Hata JK Nyerere aliwahi kutamka bayana kuwa Malecela, Lowasa sio viongozi wazuri na alipendekeza Mkapa kama kiongozi Safi.
Pengo aige mfano huo
Hata JK Nyerere aliwahi kutamka bayana kuwa Malecela, Lowasa sio viongozi wazuri na alipendekeza Mkapa kama kiongozi Safi.
Pengo aige mfano huo