mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
kama wachangiaji wengine wanavyosema,ni kweli kwamba Kakobe hana haki katika hili kama anvyodai,nadhani tatizo ni uelewa wa sheria husika.ukisoma sheria iliyoanzisha Tanesco(TANESCO ACT),shera ya ardhi ambayo ni sheria namba 4 ya mwaka 1999,pamoja na sheria ya mipango miji (COUNTRY AND PLANNING ACT) ziko wazi kuhusu kile ambacho tanesco wanataka kufanya.Ila tatizo la nchi yetu utekelezaji wa sheria umekuwa ni ndoto,kwani kakobe hajaanza kuishi pale leo.