kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
kuna mtu alishawahi kusema humu kuwa mtanzania nayo ni moja ya maajabu ya dunia.. ngoja tusubiri kitakachotokea.....
mimi bado nipo usingizini sijui kinachoendelea.
kuna mtu alishawahi kusema humu kuwa mtanzania nayo ni moja ya maajabu ya dunia.. ngoja tusubiri kitakachotokea.....
Hivi hata wathungu hutegemea kaka muona kutabiri future yao, au ni huku kwetu uswahilini tu? huyu mnyama kama ni kweli basi ana kipaji cha hali ya juu!
kumbuka ya pweza na Ujerumani wakati wa world cup
Jana tarehe 29/10/2012 Mnyama KAKAKUONA ameonekana maeneo BUNJU katika Wilaya ya Kinondoni. Wananchi walimwekea NAFAKA, SILAHA ZA JADI, MAJI na vitu vingine ili aweze kutabiri yapi yatakayo jiri katika nchi yetu katika siku za usoni. Ni bahati mbaya sana na jambo la kusikitisha kuwa mnyama huyo alipita vitu vyote ambavyo kama angevibusu pengine tungechekelea na badala yake alikwenda moja kwa moja na kuegemea silaha ya jadi aina ya PANGA.
Binafsi sina la kusema, nawaachia wenzangu kwa hekima na busara mlizopewa na Mwenyezi mungu mtoe michango yenu kuhusu hili.
Nawasilisha.
Source:Kipindi cha JAHAZI, Redio CLOUDS.
Jana tarehe 29/10/2012 Mnyama KAKAKUONA ameonekana maeneo BUNJU katika Wilaya ya Kinondoni. Wananchi walimwekea NAFAKA, SILAHA ZA JADI, MAJI na vitu vingine ili aweze kutabiri yapi yatakayo jiri katika nchi yetu katika siku za usoni. Ni bahati mbaya sana na jambo la kusikitisha kuwa mnyama huyo alipita vitu vyote ambavyo kama angevibusu pengine tungechekelea na badala yake alikwenda moja kwa moja na kuegemea silaha ya jadi aina ya PANGA.
Binafsi sina la kusema, nawaachia wenzangu kwa hekima na busara mlizopewa na Mwenyezi mungu mtoe michango yenu kuhusu hili.
Nawasilisha.
Source:Kipindi cha JAHAZI, Redio CLOUDS.
naona sasa unapangia watu waseme nini kama umeleta mada huwezi wafikirisha watu kama unavyoamini wewe eti wachangie kile unachotaka la sivyo toa mada yako pliiiiiz HAPA MADA YA KAKAKUONA MUNGU AMEINGIAJE??????????Nilianza kwa kuwaomba mtumie busara mlizopewa na Mwenyezi Mungu katika kuchangia, naona wewe hata Mungu wako humuogopi kabisaaa!! Ee Mungu umsamehe kwa vile hajui atendalo.
nakubaliana na wewe kwa 100% tu wajinga sanasanawatanzania bado tu wajinga sanasana
worrrrrdddddd!! Ni sala tu zitakazotuokoa!watanzania tusiogope - ni kweli nia ya shetani ni damu imwagike - watu wachinjane na amani itoweke
lakini huyo ni shetani tu .................. Watu wanafunga na kuomba jamani ..........mungu anajibu maombi ...
Atatutetea naamini - shetani ameshindwa ....... Hakutatokea vita ..... Makanisa hayatachomwa tena... Kwani tumeamua kusimama katika zamu yetu ya kuomba.
Hivyo waombaji ...ombeni ... Kama ulikuwa unaomba nusu saa - omba saa nzima
kama ulikuwa hujui kufunga huu ndio wakati ...... :drum::drum::drum:
anawekwa dada mrembo anaambiwa alale pale among vitu kwani mwanamke si kitu ambacho unakinunua wakati wowote au nakosea mbona mnalipa mahela kwa wazazi wao si mmewanunua becarefull usifiche dhambi.anawekewa vitu na sio watu!
mimi bado nipo usingizini sijui kinachoendelea.
anawekewa vitu na sio watu!
Jana tarehe 29/10/2012 Mnyama KAKAKUONA ameonekana maeneo BUNJU katika Wilaya ya Kinondoni. Wananchi walimwekea NAFAKA, SILAHA ZA JADI, MAJI na vitu vingine ili aweze kutabiri yapi yatakayo jiri katika nchi yetu katika siku za usoni. Ni bahati mbaya sana na jambo la kusikitisha kuwa mnyama huyo alipita vitu vyote ambavyo kama angevibusu pengine tungechekelea na badala yake alikwenda moja kwa moja na kuegemea silaha ya jadi aina ya PANGA.
Binafsi sina la kusema, nawaachia wenzangu kwa hekima na busara mlizopewa na Mwenyezi mungu mtoe michango yenu kuhusu hili.
Nawasilisha.
Source:Kipindi cha JAHAZI, Redio CLOUDS.
Tena afadhali wangempa kitu cha konyagi, walimpa ile KIROBA ORIGINAL KUTOKA ARUSHA
Litakuwa ndo lile alilokuja nalo mkulu toka oman