Wanaume kuvaa nguo za kike si picha nzuri hata kidogo. Ukiona mwanamume ametamani na anavaa nguo ya kike ujue yuko tayari kwa lolote hata kutumiwa kama mwanamke!
Wanawake wanavaa nguo za kiume la lengo la kuonekana tofauti na kuwavutia wanaume ili wawatongoze na wapate huduma toka kwa wanawake. Sasa mwanaume anapovaa nguo za kike anatafuta nini??? kutongozwa???? je atatoa huduma za kike? NAPINGA WANAUME KUVAA NGUO ZA KIKE.
Ukiwa kama mzazi utajisikiaje kukuta Mwanao wa Kiume unayejivunia amevaa kike???? Ukikuta wa Kike kavaa kiume bila shaka haitakustua sana kwa kuwa suluali inastili mwili lakini kimini sket kwa dume! lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.