Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,467
- 3,231
Siowi mwanamke mwenye mtotot kamwe, kama umesha zalishwa imekula kwako tutakutumia mdogo mdogo tu kama MAGU, kama umezaliswa huna maana ya kuolewaSidhani kama hilo onyo lako lina uhusiano wowote na hili tukio, kilichopo hapa nikionacho mie ndio wanachokiona wengi ni hila za mama mkwe zinazosababishwa na mama huyo kukataa mahusiano ya huyo kijana na mwanae wa kike, hata kama huyo Dada asingekua na mtoto basi huyo mama angeweza kumzushia mengine mengi hata ya wizi na kwa bahati mbaya wizi hauthibitishwi hospitalini wala wapi na angefungwa moja kwa moja, kikubwa huyo kijana akitoka jela aachane na huyo mwanamke hiyo sio familia ya kujihusisha nayo