Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange
Sasa mtu ana ulemavu wa akili, hata akiiba, inasaidia nini kumchoma moto ukizingatia hajui alitendalo?!!
 
Na wakati mwingine Ni wavuta bangi waliokubuhu wanawabandika Majina ya walemavu wa Akili.. Ana cheti Cha Daktari kuthibitisha ulemavu??

Sungusungu wa Mtaa husika wasimjue huyo Kaka yake??
Hivi huwa mnafatilia comment huyo ndugu yake ameenda mtaa ambao hajulikani
 
Na wakati mwingine Ni wavuta bangi waliokubuhu wanawabandika Majina ya walemavu wa Akili.. Ana cheti Cha Daktari kuthibitisha ulemavu??

Sungusungu wa Mtaa husika wasimjue huyo Kaka yake??
Sahii kabisa,
Sikuhizi na mateja nao wanaitwa walemavu wa akili.

Hii story Ni one-sided.

Mtoa mada angetaja exactly location,jina la mhusika.

Najua wapo wengi humu Huenda wanajua abc za tukio zima wangekuja kueleza ya kwao.

Nakumbuka Kuna kipind iliwahi kuletwa kesi na mdada mmoja analalama a hivyo hivyo ndugu yake kauwawa na sungusungu kule mburahati. Akataja mpk jina.

Bahat nzur wadau wanamjua vizur,
Kumbe kijana Ni kibaka sugu wa mtaa na watu kibao washampa pole Sana yule dada.

Can u imagine
 
Sasa mtu ana ulemavu wa akili, hata akiiba, inasaidia nini kumchoma moto ukizingatia hajui alitendalo?!!
Hivi mkuu umemkamata mwizi wako kabeba kitu chako, nyumban kwako usiku wa manane na humjui.

Hicho kipimo Cha akili unakipata wapi MDA huo?
 
Hivi huwa mnafatilia comment huyo ndugu yake ameenda mtaa ambao hajulikani
Hivi mkuu umemkamata mwizi wako kabeba kitu chako, nyumban kwako usiku wa manane na humjui.

Hicho kipimo Cha akili unakipata wapi MDA huo?

Hapo ningemshaur mtoa mada achukulie TU kifo Cha ndugu yake Ni ajali, haina haha ya kesi pale.
 
Inasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.

Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto .

Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.

Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.
 
Nasemaga humu tuache kujichukulia sheria mkononi jamani, tena hao ni sungusungu kabisa, hata kama mtu kaiba kweli, adhabu ya kuchoma mtu moto ni kali sana, haiendani na kosa hiko hata kidogo!!!
Mkuu,
Unawajua wezi au unawasikia?

Hivi mkuu ulishawahi bananishwa na wezi wakiwa katika kazi zao?

Wametumwa Kuja kuichukua chao?

Mwizi akiwa KAZIni suala la kukutoa uhai achukue anachotaka Ni dkk sifuri.

Binafsi siwezi kua na huruma na mwizi, WAUWAWE TU
 
Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.
Kuna walakini,
Uyo ndugu yake Ni kibaka sugu.

Hamna kesi pale, ndo maana polisi hawataki kujisumbua.

Serikali inawaamini Sana viongozi wa mtaa maana wa ndo wanawajua vibaka na wanaishi nao.

Wakisema huyu hapana, na wao wanasema hapana.

Inakua imeisha hivyo
 
Sahii kabisa,
Sikuhizi na mateja nao wanaitwa walemavu wa akili.

Hii story Ni one-sided.

Mtoa mada angetaja exactly location,jina la mhusika.

Najua wapo wengi humu Huenda wanajua abc za tukio zima wangekuja kueleza ya kwao.

Nakumbuka Kuna kipind iliwahi kuletwa kesi na mdada mmoja analalama a hivyo hivyo ndugu yake kauwawa na sungusungu kule mburahati. Akataja mpk jina.

Bahat nzur wadau wanamjua vizur,
Kumbe kijana Ni kibaka sugu wa mtaa na watu kibao washampa pole Sana yule dada.

Can u imagine
Kaka (marehemu) anaitwa isack mwageni anaishi mbande magengeni,ameenda kuuliwa kitongoji cha mbande rufu mwenyekiti wa huko anaitwa sadiki.
Nikuwekee picha ya marehemu ufananinishe na wagonjwa wengine wa downs syndrome wanavyokuwa wanafanana?
 
Kesi anavyoielezea haiingii akilini kabisa, hata wewe Apo.

Hata Kama humjui mtu, huwez mkuta kwako ukaanza kumshambulia mpk kumchoma Moto Bila kua na uhakika kua Ni mwizi.

Haiingii akilini eti
Uyo Mpk anafikia kuchomwa Moto anaiungua anateketea maana ake alikosa kabisa hata mmoja tu wa kumtetea Wala kuita polisi asaidiwe.

Pale inavoonesha alikutwa ready handled.

Unajua mkuu hizi kesi za upande mmoja hasa matukio ya wizi Kama haya,
afu zinazohusisha ndugu wa damu huja na hoja nyepesi nyepesi zilizokaa kiutetezi Sana ili kusaka huruma ya jamii.

Ifike mahala, tuweke ubinadamu pembeni tuwaze beyond the box.

Vinginevyo unambie hujawai ibiwa na ukapeleka mwizi polisi, akarudishwa mtaani.
Kaka yule jamaa anaebeba mchepuko wako inabdi ukamuitie mwizii...!
 
Mkuu,
Mimi Ni mwelewa Sana.

Kwa kesi Kama hiyo sidhan Kam anatakiwa kwenda mahakamani kushtaki watu.

Maneno Ni magumu Sana,
Ila Ni Lazima TU yasemwe,

Uyo mtoa mada ahesabu tu Ni bahati mbaya iyo ndugu yake kafariki.

Kama vile alivyo mlemavu ambavyo angefariki kwa ajali ya kugongwa barabarani au railway crossing.

Wakulaumiwa ni waangalizi wake hao.
Naunga mkono hoja. Uzembe na wakulaumiwa na hao ndugu wanaomtunza. Kama wangekuwa makini yote haya yasingetokea
 
Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange
Hivi we jamaa unaishi mazingira gani tofauti na sisi ambayo yanakufanya uwe mpofu usione mapungufu ya watanzania kwenye ishu za wizi?

Kuna jamaa mtaani alikuwa albino, huyo jamaa alikuwa kibopa akikuta kichochoroni anakutia ngeta anasepa na kibunda

Ukiwa mbishi ukathubutu kumkimbiza ili unusuru mali zako anaanza kupiga makelele "jamani mimi albino anataka kunikata viungo vyangu wananchi njooni mnisaidie"

Hapo sasa inakubidi uachane naye ukubali kuibiwa ili kunusuru maisha yako kwasababu wakija hao wananchi hawatakuwa na muda wa kuhoji zaidi ya kukushushia kipigo

Kingine

Mimi nilishawahi kushuhudia mtu akifia mikononi mwangu baada ya kupigwa kwa kuhisiwa mwizi na wakati haikuwa kweli.

Niliweka na uzi hapa Thread 'Tukio lililotokea mwezi uliopita linanithibitishia kuwa "binadamu wote ni sawa ila hatupo sawasawa"' Tukio lililotokea mwezi uliopita linanithibitishia kuwa "binadamu wote ni sawa ila hatupo sawasawa"

Hata mjini siku hizi mkipishana kauli kidogo na mtu akikuitia mwizi lazima uchakae, neno mwizi ni lina tafsiri mpya "piga bila kuuliza na ukiua itahesabika ni wananchi wenye hasira kali"

Nilishawahi kuchomolewa 30k kariakoo, lakini nilipomuona mwizi niliamua kukomaa naye mwenyewe mpaka nikafanikisha kuzirudisha

Wapo walionishauri niite mwizi ili asifike mbali lakini nikawajibu endapo mwizi huyo angekufa kwa kupigwa basi hatia ningeiona ipo kwangu na ningekosa raha kwa kusababisha mtu kufa kwa shilingi 30k
 
Hivi mkuu umemkamata mwizi wako kabeba kitu chako, nyumban kwako usiku wa manane na humjui.

Hicho kipimo Cha akili unakipata wapi MDA huo?

Hapo ningemshaur mtoa mada achukulie TU kifo Cha ndugu yake Ni ajali, haina haha ya kesi pale.
Mkuu ulikuwepo eneo la tukio why udhani alikamatwa na kitu cha wizi
 
Mkuu,
sio kwamba nna roho mbaya, katili au nnachuki binafsi na mtoa mada.

Naongea Kama mhanga sugu wa wezi, vibaka na majambazi.

Kiuhalisia wezi popote watakapokamatwa WAUWAWE TU Ili vijana wajifunze kujipatia kipato halali.

Yaani tumeshachoka
Aisee
 
Back
Top Bottom