DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,223
Sawa kaenda sehemu hajulikani, nmekubali.,(majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio,)
Umesoma vizuri na kuielewa hiyo paragraph? Uyu alitoroka akaenda sehemu tofauti ambayo hajulikani na mtu yoyote..unaijua downs syndrome?
NB:hata Mimi nilikuwa nafurahia mwizi akipokea kipondo na wewe siku ndugu yako akipigwa moto na unajua fika sio mwizi ndio utajua kwanini serikali inakataza raia kujichukulia sheria mkononi
Vipi suala la kumpiga mpk kumchoma,
Unataka kunambia walimkuta wakapiga tu Bila hata kumhoji?
Mbona haiingii akilini?
Uku kwetu mbona wehu na vichaa mbalimbali wanazurura mji mpk mji na hatujawai sikia kesi ya mwehu au kichaa kauwawa bahati mbaya akidhaniwa Ni mwizi?
Unajua nikwambie kitu mkuu,
Hapo huwez pata sapoti yoyote ile.
Hata hao polisi wenyewe ulikoenda kushtaki washawachoka hao wezi na Vibaka, wanawaharibia kazi yao.
Ndo maana kesi za vibaka kuuwawa na Sungu Sungu huwa hazna Nguvu kabisa hata uende ikulu maana serikali yenyewe inajua kabisa wezi ndo Hawa Hawa tunaioshi nao.
Na wazazi ndo Kama nyie mnaowafuga.
Na sungusungu na viongozi wanawajua wezi wanaosumbua mtaa.
Hiyo kesi achana nayo mkuu, Fanya tu ishu nyingine.