Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

,(majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio,)
Umesoma vizuri na kuielewa hiyo paragraph? Uyu alitoroka akaenda sehemu tofauti ambayo hajulikani na mtu yoyote..unaijua downs syndrome?

NB:hata Mimi nilikuwa nafurahia mwizi akipokea kipondo na wewe siku ndugu yako akipigwa moto na unajua fika sio mwizi ndio utajua kwanini serikali inakataza raia kujichukulia sheria mkononi
Sawa kaenda sehemu hajulikani, nmekubali.

Vipi suala la kumpiga mpk kumchoma,
Unataka kunambia walimkuta wakapiga tu Bila hata kumhoji?

Mbona haiingii akilini?

Uku kwetu mbona wehu na vichaa mbalimbali wanazurura mji mpk mji na hatujawai sikia kesi ya mwehu au kichaa kauwawa bahati mbaya akidhaniwa Ni mwizi?

Unajua nikwambie kitu mkuu,
Hapo huwez pata sapoti yoyote ile.

Hata hao polisi wenyewe ulikoenda kushtaki washawachoka hao wezi na Vibaka, wanawaharibia kazi yao.

Ndo maana kesi za vibaka kuuwawa na Sungu Sungu huwa hazna Nguvu kabisa hata uende ikulu maana serikali yenyewe inajua kabisa wezi ndo Hawa Hawa tunaioshi nao.

Na wazazi ndo Kama nyie mnaowafuga.

Na sungusungu na viongozi wanawajua wezi wanaosumbua mtaa.

Hiyo kesi achana nayo mkuu, Fanya tu ishu nyingine.
 
Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.

Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.

Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.

Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.

(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)

Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.

Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.

Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi

Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.

Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.

Kaka huyo mtu hana akili vizuri, kama wewe ushaishi kitaa hawa watu wenye matatizo ya akili anaweza kupita mbele ya nyumba yako akachukua chochote anachokiona si kwa sababu ni mwizi ila hana ufahamu wa kuishi na watu wengine kama wewe

Inawezekana ndio situation iliyomkuta jamaa na uwezo wa kujitetea hana na sungusungu uwezo wa kumuelewa hawana
 
Sawa kaenda sehemu hajulikani, nmekubali.

Vipi suala la kumpiga mpk kumchoma,
Unataka kunambia walimkuta wakapiga tu Bila hata kumhoji?

Mbona haiingii akilini?

Uku kwetu mbona wehu na vichaa mbalimbali wanazurura mji mpk mji na hatujawai sikia kesi ya mwehu au kichaa kauwawa bahati mbaya akidhaniwa Ni mwizi?

Unajua nikwambie kitu mkuu,
Hapo huwez pata sapoti yoyote ile.

Hata hao polisi wenyewe ulikoenda kushtaki washawachoka hao wezi na Vibaka, wanawaharibia kazi yao.

Ndo maana kesi za vibaka kuuwawa na Sungu Sungu huwa hazna Nguvu kabisa hata uende ikulu maana serikali yenyewe inajua kabisa wezi ndo Hawa Hawa tunaioshi nao.

Na wazazi ndo Kama nyie mnaowafuga.

Na sungusungu na viongozi wanawajua wezi wanaosumbua mtaa.

Hiyo kesi achana nayo mkuu, Fanya tu ishu nyingine.
Wewe mbona umemkalia kooni mwenzio kwamba huyo ndugu yake alikuwa mwizi vipi yule aliyeuliwa Mtwara alikuwa na kosa gani hata wewe unaweza kuuliwa kwa kuitiwa kelele za mwizi acha ujuaji hii Dunia kuna mauwaji yanauotokea ukihadithiwa huwezi amini kama wewe
 
Kaka huyo mtu hana akili vizuri, kama wewe ushaishi kitaa hawa watu wenye matatizo ya akili anaweza kupita mbele ya nyumba yako akachukua chochote anachokiona si kwa sababu ni mwizi ila hana ufahamu wa kuishi na watu wengine kama wewe

Inawezekana ndio situation iliyomkuta jamaa na uwezo wa kujitetea hana na sungusungu uwezo wa kumuelewa hawana
Alafu jamaa anaongea utafikir hatuwajui tabia za sungu sungu ni washenz sana hao jamaa ndo wakabaji wenyewe hao wakikuta usiku..
 
Acha roho mbaya sheikh.. haya jamaa kashapoteza ndugu yake na ww umefaidika nn sasa!!
Kesi anavyoielezea haiingii akilini kabisa, hata wewe Apo.

Hata Kama humjui mtu, huwez mkuta kwako ukaanza kumshambulia mpk kumchoma Moto Bila kua na uhakika kua Ni mwizi.

Haiingii akilini eti
Uyo Mpk anafikia kuchomwa Moto anaiungua anateketea maana ake alikosa kabisa hata mmoja tu wa kumtetea Wala kuita polisi asaidiwe.

Pale inavoonesha alikutwa ready handled.

Unajua mkuu hizi kesi za upande mmoja hasa matukio ya wizi Kama haya,
afu zinazohusisha ndugu wa damu huja na hoja nyepesi nyepesi zilizokaa kiutetezi Sana ili kusaka huruma ya jamii.

Ifike mahala, tuweke ubinadamu pembeni tuwaze beyond the box.

Vinginevyo unambie hujawai ibiwa na ukapeleka mwizi polisi, akarudishwa mtaani.
 
Inasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.

Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto .

Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.

Tujijue WaTz kwa sasa tunaongoza kwa roho mbaya ya ukatili! Hii katiba mpya ihakikishiwe haki ya mtu na utu wake (uhai), vinalindwa na ni marufuku mtu mwingine kujichukulia uamuzi wa kuutoa uhai wa mwingine, haijalishi kafanya kosa gani.
 
Inasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.

Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto .

Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.

Poleni sana!
 
Alafu jamaa anaongea utafikir hatuwajui tabia za sungu sungu ni washenz sana hao jamaa ndo wakabaji wenyewe hao wakikuta usiku..
Sungusungu wengi wanachukuliwa randomly Tu mkuu, hakuna kigezo au mafunzo yoyote ya kumuandaa mtu. Japo wanaleta unafuu kwenye mitaane ila ukikutana nao usiku na hawakujui lazma wazae na wewe
 
Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.

Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.

Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.

Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.

(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)

Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.

Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.

Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi

Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.

Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
ficha ujinga wako we kenge
 
Kesi anavyoielezea haiingii akilini kabisa, hata wewe Apo.

Hata Kama humjui mtu, huwez mkuta kwako ukaanza kumshambulia mpk kumchoma Moto Bila kua na uhakika kua Ni mwizi.

Haiingii akilini eti
Uyo Mpk anafikia kuchomwa Moto anaiungua anateketea maana ake alikosa kabisa hata mmoja tu wa kumtetea Wala kuita polisi asaidiwe.

Pale inavoonesha alikutwa ready handled.

Unajua mkuu hizi kesi za upande mmoja hasa matukio ya wizi Kama haya,
afu zinazohusisha ndugu wa damu huja na hoja nyepesi nyepesi zilizokaa kiutetezi Sana ili kusaka huruma ya jamii.

Ifike mahala, tuweke ubinadamu pembeni tuwaze beyond the box.

Vinginevyo unambie hujawai ibiwa na ukapeleka mwizi polisi, akarudishwa mtaani.
Ila wewe jamaa bana na vistori vyako vya michepuko kumbe ndio tahira ivo.?
 
Kaka huyo mtu hana akili vizuri, kama wewe ushaishi kitaa hawa watu wenye matatizo ya akili anaweza kupita mbele ya nyumba yako akachukua chochote anachokiona si kwa sababu ni mwizi ila hana ufahamu wa kuishi na watu wengine kama wewe

Inawezekana ndio situation iliyomkuta jamaa na uwezo wa kujitetea hana na sungusungu uwezo wa kumuelewa hawana
Kaka,
Hicho kipimo Cha kumpima mtu huo utimamu wake wa akili usiku wa manane na nmeshamkamata ready handled na mali yangu kaniibia nakipata wapi?

Hebu vingine jiongeze mwnyw, ungelikua wee unafanyaje?
 
Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange
Mkuu tumia busara, jamaa amesema Kaka yake alikuwa na Down's Syndrome, maana yake alikuwa mlemavu, na mtu wa aina hii anahitaji mwangalizi muda wote. Na ukimuona tu mtu mwenye downs syndrome unamtambua tu. Sasa hukumu unayotoa ni halali kweli?!
 
Tujijue WaTz kwa sasa tunaongoza kwa roho mbaya ya ukatili! Hii katiba mpya ihakikishiwe haki ya mtu na utu wake (uhai), vinalindwa na ni marufuku mtu mwingine kujichukulia uamuzi wa kuutoa uhai wa mwingine, haijalishi kafanya kosa gani.
Siku hizi ukipiga yowe ya mwizi,
mwizi mwnyw anawakimbia raia na anajipeleka mwyw polisi.

Siku mbili kushapoa, anaruhusiwa aanrudi Tena uraiani.

Maana ake polisi Ni sehemu salama Sana kwa wezi na Vibaka.
 
Kesi anavyoielezea haiingii akilini kabisa, hata wewe Apo.

Hata Kama humjui mtu, huwez mkuta kwako ukaanza kumshambulia mpk kumchoma Moto Bila kua na uhakika kua Ni mwizi.

Haiingii akilini eti
Uyo Mpk anafikia kuchomwa Moto anaiungua anateketea maana ake alikosa kabisa hata mmoja tu wa kumtetea Wala kuita polisi asaidiwe.

Pale inavoonesha alikutwa ready handled.

Unajua mkuu hizi kesi za upande mmoja hasa matukio ya wizi Kama haya,
afu zinazohusisha ndugu wa damu huja na hoja nyepesi nyepesi zilizokaa kiutetezi Sana ili kusaka huruma ya jamii.

Ifike mahala, tuweke ubinadamu pembeni tuwaze beyond the box.

Vinginevyo unambie hujawai ibiwa na ukapeleka mwizi polisi, akarudishwa mtaani.
Sasa ww ushaambiwa jamaa anamatatzo ya akili na alikuwa anafungiwa ndan bahat mbaya akatoroka.. bado unajitoa uelewa.. angekuwa mzima wa akil nisingetilia mashaka sana
 
Inasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.

Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto 😭😭😭😭😭 .

Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nasemaga humu tuache kujichukulia sheria mkononi jamani, tena hao ni sungusungu kabisa, hata kama mtu kaiba kweli, adhabu ya kuchoma mtu moto ni kali sana, haiendani na kosa hiko hata kidogo!!!
 
Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange
Na wakati mwingine Ni wavuta bangi waliokubuhu wanawabandika Majina ya walemavu wa Akili.. Ana cheti Cha Daktari kuthibitisha ulemavu??

Sungusungu wa Mtaa husika wasimjue huyo Kaka yake??
 
Mkuu tumia busara, jamaa amesema Kaka yake alikuwa na Down's Syndrome, maana yake alikuwa mlemavu, na mtu wa aina hii anahitaji mwangalizi muda wote. Na ukimuona tu mtu mwenye downs syndrome unamtambua tu. Sasa hukumu unayotoa ni halali kweli?!
Mkuu,
Mimi Ni mwelewa Sana.

Kwa kesi Kama hiyo sidhan Kam anatakiwa kwenda mahakamani kushtaki watu.

Maneno Ni magumu Sana,
Ila Ni Lazima TU yasemwe,

Uyo mtoa mada ahesabu tu Ni bahati mbaya iyo ndugu yake kafariki.

Kama vile alivyo mlemavu ambavyo angefariki kwa ajali ya kugongwa barabarani au railway crossing.

Wakulaumiwa ni waangalizi wake hao.
 
Back
Top Bottom