Kaka yake hanitaki kisa mie sio mchaga

Kaka yake hanitaki kisa mie sio mchaga

brownboy

Senior Member
Joined
Jun 10, 2023
Posts
103
Reaction score
278
Kuna pisi nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili.

Ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga.

Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila
 
Kaka yake Kuna kitu kaona tu ili katafuta njia ya kumwambia ili wewe na demu wako msijiskie vibaya

Atakua kakuona kapuku tu akashindwa kumchana makavu... Ungekua ndani ya range hayo mambo ya kabila yangetoka wapi
 
Wachaga wanaukabila sana, hasa umkute demu wa kichaga ambae kwao pesa zipo alafu wewe bado hujayapatia maisha, aisee utaundiwa zogo ni hatari.

Mimi kama Chief Lumanyika kutoka Bukoba, nikikikutana na Demu akaniambia na Mchaga automatically stimu zinaisha, japo sio Wachaga wote ila wengi wao wanaotoka huko kwao Uchagani, na wenye pesa wengi wanaukabila.

At least wasukuma, mimi nimewai kwenda mpaka Usukumani na sijawahi kukutana na ukabila kwa Wasukuma... Unapewa mpaka mke bure Usukumani.
 
Wachaga wanaukabila sana, hasa umkute demu wa kichaga ambae kwao pesa zipo alafu wewe bado hujayapatia maisha, aisee utaundiwa zogo ni hatari. Mimi kama Chief Lumanyika kutoka Bukoba, nikikikutana na Demu akaniambia na Mchaga automatically stimu zinaisha, japo sio Wachaga wote ila wengi wao wanaotoka huko kwao Uchagani, na wenye pesa wengi wanaukabila. At least wasukuma, mimi nimewai kwenda mpaka Usukumani na sijawahi kukutana na ukabila kwa Wasukuma... Unapewa mpaka mke bure Usukumani.
Soggy Doggy hujaoa tu, Mana tangu enzi za kibanda Cha simu umri utakuwa umeenda Sana😂
 
Duuh bado ukabila ni janga kumbe

Kwenye migogoro kitu cha muhimu sana ni "who you are offending?" usikute huyo kaka ake ni chizi chizi ukachukulia poa ye akafanya jambo la ajabu

But kama ni wale mabro tu wakawaida na unataka mdate tu no future we endelea kubutua

ila kama mna long term plan na huyo manzi better stay a way bro, unaweza jisemea "kwahiyo tuachane kisa kaka yake?" Never underestimate the power of hate, anasema Bukowski

"There is genius in their hatred, there is enough genius in their hatred to kill you, to kill anybody"
 
Kuna pis nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga. Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila
Tafuta hela,

Unazulula na dada yake siku kucha, unamumalizia sole za viatu
 
Kuna pis nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga. Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila
Kaka mtu anakuepusha na mengi sana. Kwanza shukuru Mungu kwa kutokuwa mchaga tena katoe na sadaka kabisa
 
Back
Top Bottom