Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
msome huyu mwamba kwa ufupi afu useme kafeli wapi?
Mpare: Money Penny bwana kuna kisa nataka nikueleze, kuna dada anaitwa Vera Sidika, nilimtongozaga mwaka 2014 nikiwa kenya
Money Penny: aisee, ikawaje?
Mpare: nilikutanishwa nae club bwana na marafiki zangu, ila sina hamu
Money Penny: ulimwambiaje kwani? ulimtongozaje?
Mpare: Oh Daa Vera mimi nakupendaga sana nimejaribu sana kukutafuta na kuwasiliana nawe lakini nakosa, nimekutafuta dm instagram kimyaa... WhatsApp ukaniblock... Snapchat haujibu Leo naona ni Mungu tu amenikutanisha na wewe
Vera sidika: anamuangalia tu anarudi kwenye simu kimyaaa
Mpare: Naomba nisikupotezee Muda mimi nakupendaga nataka niwe mpenzi wako
Naomba unikubalie ombi langu kama upo single lakini
Vera: Yes am very single
Mpare: safi sana mimi nakupenda naomba nikuoe kabisa tuzae Na watoto... hata mapacha naweza kukupatia
Vera Sidika: akamwangalia tu akarudi kwenye simu yake
Mpare: ninaweza kukutunza kwetu Tanzania nina Mali nyingi sana zenye thamani ya bilioni 3 hio ni nje ya mshahara wangu
Vera Sidika: akamwangalia akacheka akaendelea na simu
Mpare: unasemaje mrembo wangu
Vera sidika: akaweka simu yake chini akamwangalia akaanza kuongea
My dia bilion 3 ya Tz ni sawa na dola 1,333,000 za Kimarekani (kwa rate ya tsh 2200 then)
kila mwaka na pokea jumla ya dola mil 2 kufanya appearance Marekani. .. Malaysia... Dubai... London... Abudhabi... Nigeria.... Canada
Nikienda kufanya mziki Nigeria kwa mwaka naingiza dola laki 3
Matumizi yangu kwa mwezi pale nyumbani ni dolar 3000
Vacations zangu kwa mwaka ni dola laki 3
Nikienda kumwona dokta London kwa ajili ya kuangaliwa ngozi yangu kama imechuja au ipo na standard natumia dola laki 1
Bado matumizi yangu ya shopping binafsi, makeups, nguo, gari, shoes, bags,
Kwahiyo, hii ni business card yangu, naomba unitafute ukiwa tayari kumeet my costs of living for life,
OK, bye for now, ''see you at the top where rich people dont brag like you''
Mpare akaishiwa nguvu.
Je ingekuwa ni wewe ungemtafuta tena Vera Sidika?
Mwamba wa kipare amekosea wapi kwenye kutongoza?
MY THREAD
Story: Kutega(Seduction)
Story: Bora Mchaga Mwizi Kuliko Mpare Bahili....
Story: Fumanizi la ukubwani
Mpare: Money Penny bwana kuna kisa nataka nikueleze, kuna dada anaitwa Vera Sidika, nilimtongozaga mwaka 2014 nikiwa kenya
Money Penny: aisee, ikawaje?
Mpare: nilikutanishwa nae club bwana na marafiki zangu, ila sina hamu
Money Penny: ulimwambiaje kwani? ulimtongozaje?
Mpare: Oh Daa Vera mimi nakupendaga sana nimejaribu sana kukutafuta na kuwasiliana nawe lakini nakosa, nimekutafuta dm instagram kimyaa... WhatsApp ukaniblock... Snapchat haujibu Leo naona ni Mungu tu amenikutanisha na wewe
Vera sidika: anamuangalia tu anarudi kwenye simu kimyaaa
Mpare: Naomba nisikupotezee Muda mimi nakupendaga nataka niwe mpenzi wako
Naomba unikubalie ombi langu kama upo single lakini
Vera: Yes am very single
Mpare: safi sana mimi nakupenda naomba nikuoe kabisa tuzae Na watoto... hata mapacha naweza kukupatia
Vera Sidika: akamwangalia tu akarudi kwenye simu yake
Mpare: ninaweza kukutunza kwetu Tanzania nina Mali nyingi sana zenye thamani ya bilioni 3 hio ni nje ya mshahara wangu
Vera Sidika: akamwangalia akacheka akaendelea na simu
Mpare: unasemaje mrembo wangu
Vera sidika: akaweka simu yake chini akamwangalia akaanza kuongea
My dia bilion 3 ya Tz ni sawa na dola 1,333,000 za Kimarekani (kwa rate ya tsh 2200 then)
kila mwaka na pokea jumla ya dola mil 2 kufanya appearance Marekani. .. Malaysia... Dubai... London... Abudhabi... Nigeria.... Canada
Nikienda kufanya mziki Nigeria kwa mwaka naingiza dola laki 3
Matumizi yangu kwa mwezi pale nyumbani ni dolar 3000
Vacations zangu kwa mwaka ni dola laki 3
Nikienda kumwona dokta London kwa ajili ya kuangaliwa ngozi yangu kama imechuja au ipo na standard natumia dola laki 1
Bado matumizi yangu ya shopping binafsi, makeups, nguo, gari, shoes, bags,
Kwahiyo, hii ni business card yangu, naomba unitafute ukiwa tayari kumeet my costs of living for life,
OK, bye for now, ''see you at the top where rich people dont brag like you''
Mpare akaishiwa nguvu.
Je ingekuwa ni wewe ungemtafuta tena Vera Sidika?
Mwamba wa kipare amekosea wapi kwenye kutongoza?
MY THREAD
Story: Kutega(Seduction)
Story: Bora Mchaga Mwizi Kuliko Mpare Bahili....
Story: Fumanizi la ukubwani
Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke
Jamani mimi sio perfect kwenye maisha yangu wala sijasoma pyscholojia ila kwasababu yenu na upendo wenu kwangu... na upend wangu kwenu ...nimeona tusaidiane kwa kadiri ya uwezo wangu na experience zangu za maisha hapa chini ya jua..maana maswali yamekuwa Mengi kule inbox Simsemi mtu nasaidia...
www.jamiiforums.com