Sio jukumu la bibi wala wazazi ni jukum la wazazi wa kichanga. Wakaanzishe maisha yao hawajachelewa provided imani au jamii yao inaruhusuHapo naona wazazi wa hao vijana wanampa mzigo Bibi katika kuwalea pamoja na kichanga chao hivyo wanamtesa bure bibi wa watu..
In some cultures they would have been banished from the area and home OR even killed.
Incest is abominable and not good for the human race survival.
In-breeding leads to the weak and recessive genes come and manifest themselves.
Do not be surprised that this happens alot more than reported. Some cases are hushed up to protect the family reputation.
All in all it is sad and traumatising.
Mwanafaslafa1, Ni kweli sheria haziwezi kuzuia matukio kama haya ya kinyama lakini angalau zinaweza kusaidia kuyapunguza kwa wahusika kuogopa athari za unyama wao.
Tuna sheria za kuwaadhibu wezi, majambazi ambazo pamoja na kuwa hazijazuia matukio zaidi ya ujambazi na wizi angalau labda zimesaidia katika kupunguza idadi ya matukio hayo.
Hapo naona wazazi wa hao vijana wanampa mzigo Bibi katika kuwalea pamoja na kichanga chao hivyo wanamtesa bure bibi wa watu..
Nyaralego,
1. Mbona ng'ombe, mbuzi wanazaliana tu..na je pia hii huwa kuleta recessive genes? Naomba mwanga na elimu kidogo!
2. Socially: sijui inakuwaje hata mtu unakuwa attracted na kulala na dada au kaka!
Wangepimwa akili![/QUOTE]
Wapimwe akili???? hayo majamboz hayana cha akili punguani bora mahanjam ( mnayaita hivyo???)!!!
Ila ni aibu sana sijui inaanzaje hadi ndugu wa damu kuanza kutamaniana!
Mh huko mbali unamtamani dada au kaka yako hiyo inakuwa hatari saanaHivi kaka au dada ako akiwa mzuri huwezi mtamani?
Tatizo sidhani kama hata sheria zita zuia baadhi ya watu kufanya mambo haya. Kwa sababu mimi I doubt the mental capacity ya watu wanao fikia kufanya mambo kama haya. Mtu mpaka afikie kufanya mapenzi na binti wake, mzazi wake au kaka/dada yake basi huyo mtu ni atakua na matatizo makubwa sana. Je sheria zita zuia watu wenye akili hizi kufanya hivyo?
Kama ni binamu, mtoto wa baba mdogo ama mkubwa akiwa mzuri unaweza kumtamani. Hii ni kwa experience. Imenitokea.Hivi kaka au dada ako akiwa mzuri huwezi mtamani?
True, Psychiatric evaluation!!!Nyaralego,
1. Mbona ng'ombe, mbuzi wanazaliana tu..na je pia hii huwa kuleta recessive genes? Naomba mwanga na elimu kidogo!
Thank you, MzalendoHalisi to answer your question,
We are human beings and of superior intelliegence. Ng'ombe, Mbuzi are animals and do not reason they just mate when they on-heat.
Infact these days kuna Animal Husbandry where the farm animals are bred and the gene pool is expanded.
2. Socially: sijui inakuwaje hata mtu unakuwa attracted na kulala na dada au kaka!
Some societies do not tolerate Incest type associations. I believe that we are in these types of societies.
Imagine a gene like sickle cell gene OR Haemophilia being multiplied by inbreeding. I have nothing againt anyone with sickle cell anaemeia OR haemophili, but the Sickle cell illness is very debillitating. They suffer alot.
Wangepimwa akili!
Huyo haitwi binamuKama ni binamu, mtoto wa baba mdogo ama mkubwa akiwa mzuri unaweza kumtamani. Hii ni kwa experience. Imenitokea.