Kaka kaka... Unatishaaa!!!! Umevuta ngapi Hizoo?

Erickb52 yuko wapi? Mara ya mwisho nilisikia yy na Mr Rocky wamekamatwa China ila Eiyer alikuwa anahaha kuwawekea dhamana!
Mkuu tatizo hawa jamaa ni wabishi sana
Mr Rocky ana maisha mazuri tu lakini sembe haachi sijui kwanini Erickb52 ana kampuni ya kusafirisha mizigo Afrika mashariki na kati lakini nae sembe haachi

Ngoja nipambane niwarudishe nyumbani lakini itabidi waache hii makitu ....lol!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Aisee nimekupenda bure.

Naomba tuunde team ya kuiba ze husbands of azas.:biggrin:

karibu kabsa karucee,,kwa raha zetu....after all wake zao wenyewe wameshindwa kuwatunza hahaa ndo maana kutwa kucha wanarukaruka! lol:redface::biggrin:
 
actuary hiri rijamaa ni ritajiri mpaka sasa, na ukipanda hayo mabasi na ukajitamburisha mwana jf huripi nauri.
cc:: kiwatengu Arushaone Lady doctor

Nimeagiza zingine mkuu, ingawa ni Yutong ila nahitaji madriver na makondakta wa kumwaga. Tafuta members wa jf wenye uhitaji wa kazi hizo.
 
Last edited by a moderator:


Watavuna wanachopanda tu hawa.
 
Last edited by a moderator:

Mtabaku kuabika na kufuatilua mali za watu .. wenyewe wakifabya maendelei .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…