thats it Maadili yanachangia 100%.Mtoto wa kiislam hawezi fanya hivo huyo atakua anawaiga wale makasisi wa Vatican kwa kunajisi wa22.
We kima jike mbona mjinga sana hivi ulishaona wazungu wanatofautiana kisa dini ila we kima jike wa kitanzania unaleta dini kila mahali.. Muislam na mkristo wapo wazuri na wabaya.. kima jike subiri upande na kima dume uzae watoto uwape dini yako hiyo pumbavu.. Dunia inazungumza umoja we unaleta udiniMkuu usipanic hamna uchochezi hapa ni just kuelimiashana tu.
Ni tukio linatokea sasa hivi hapa Tabata mtaa wa Amani. Kaka na dada ambaye wamezaliwa baba na mama mmoja wamefumaniwa katika nyumba yao.
Wazazi wa watoto hao walikuwa wametoka kwa matembezi kurudi ndio wanakutana na mkasa huo. Hivi sasa wananchi wanatembeza kichapo kwa kaka, dada amekimbia hajulikani yuko wapi.
Inasemekana kaka ana miaka 21 na mdogo wake ni 18.
Dunia imekwisha, kaka na dada?
Sijui binadamu tunaelekea wapi?
so sad.. 21 yrs mtu anajielewa vizuri
Maadili yanahusika hapa, hao watoto wangelelewa katika Tabia za kiislam wasingethubutu kufanya hayo.
Mbona hata sheria ya kiislam imebariki ushoga kabisa,wengi hawaoendi kuitaja?Hizo story tuu! Nashangaa unasahau mapema sana! Ushoga uliokithiri hapo Zanzibar na Mombasa ni wakristo? Zaidi ni kwamba kuna shoga alihojiwa clouds FM kipindi cha njia panda wateja wake wakuu ni waarabu wa mwanza alikokulia na hapo tusemeje?
Mbona hata sheria ya kiislam imebariki ushoga kabisa,wengi hawaoendi kuitaja?
Research moja iliyofanyika Eastleagh Nairobi -eneo linalokaliwa sana na Wasomali (na ambao ni 99.9999% waislamu) ulionyesha kuwa incidents za incest (ikiwemo sex between siblings) ni nyingi mno! How do you explain that?
Usiseme mtoto wa kiislam, kuwa mpole, hao akina anti shaban, na anti rama kinondoni ni wakristo?
ni uchochezi mkuu kuna waislam wenye maadili mabaya na mazur na wakristo hivo hivo....just dt put the religion staffs kwa thread kama hii
hao mashoga hawajielewi maana sheria ya kiislam inasema hawafai in the society kwa hio wako kinyume na uislam...Lakini Makasisi wa vatican kulawiti watoto,kuoana wao kwa wao huwaoni.
hao mashoga hawajielewi maana sheria ya kiislam inasema hawafai in the society kwa hio wako kinyume na uislam...Lakini Makasisi wa vatican kulawiti watoto,kuoana wao kwa wao huwaoni.
Jibu swali jaman unaijua dini yao?Uislam haufundishi hivyo wala usiusingizie.
Ni tukio linatokea sasa hivi hapa Tabata mtaa wa Amani. Kaka na dada ambaye wamezaliwa baba na mama mmoja wamefumaniwa katika nyumba yao.
Wazazi wa watoto hao walikuwa wametoka kwa matembezi kurudi ndio wanakutana na mkasa huo. Hivi sasa wananchi wanatembeza kichapo kwa kaka, dada amekimbia hajulikani yuko wapi.
Inasemekana kaka ana miaka 21 na mdogo wake ni 18.
Dunia imekwisha, kaka na dada?
Sijui binadamu tunaelekea wapi?
so sad.. 21 yrs mtu anajielewa vizuri
Well said, hawa watu wenye mawazo finyu ndio wanatuharibia jamii yetu....mkuu hivi yule aliyemlawiti mtoto msikitini tena huku kamshikisha Quran naye ni kasisi?
na yule aliyemlawiti mtoto na kisha kumuua naye ni kasisi? au hukuyasikia hayo na hujui aliyefanya hivo?
mkuu kiufupi dini haitendi ushenzi wanaotenda ushenzi ni watu, uwe Muslim au Christian, matendo ni ya kwako binafsi usisingizie dini na watu wa dini zote tu wapo wanaotenda ushenzi na wapo wema.
Acha fikra changa waarabu na uislam wao ndio wanaoongoza kwa kuoa ndugu zao