Kaka afumaniwa na dada ake

Hizo story tuu! Nashangaa unasahau mapema sana! Ushoga uliokithiri hapo Zanzibar na Mombasa ni wakristo? Zaidi ni kwamba kuna shoga alihojiwa clouds FM kipindi cha njia panda wateja wake wakuu ni waarabu wa mwanza alikokulia na hapo tusemeje?

we ni mburula ama? huyo kasema wateja wake ni waarabu ajasema wateja wake ni masheikh au maimamu, kwani ukiwa mwarabu sharti uwe muslim, think out da box dogo
 

Hakuna sehemu watoto wanaharibiwa kama kwenye hizi madrassa
 
inabidi nyumba itambikiwe, ni mkosi kwenye familia huo.
 

Is this Tanzania or Sudan? Why should the female culprit be more heavily punished than a male culprit for the same offense?
 
Uislam haufundishi hivyo wala usiusingizie.

fumbua macho wewe hakuna imani ya kweli inayofundisha hayo

huo ni ushenzi unaochangiwa sana na malezi mabovu .

Msikae kutetea dini wala kuzilaumu . Watu ndo washenzi tu
 
Dare to talk openly,wamefumaniwa wanafanya nini?Wanakomba mboga,wanakwiba pesa,wanauza tv etc?Kwanini mnawapiga!

Sikupingi mkuu ila neno "fumanizi" has everything to do with kufanya "ngono" au mapenzi!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
We ni toto nn? Huelewi nn hapo, kama ni minor please u can go to Catton.
 
Acha fikra changa waarabu na uislam wao ndio wanaoongoza kwa kuoa ndugu zao

Ukiacha mazoea uliyozowea.
Naomba unijuze kwa darili za ndani ya bible je ni wanawake gani wewe huruhusiwi kuwaowa?
 
Dare to talk openly,wamefumaniwa wanafanya nini?Wanakomba mboga,wanakwiba pesa,wanauza tv etc?Kwanini mnawapiga!

Walikutwa wakifanya ngono mkuu yaani walikutwa wakiwa uchi wa mnyama wakifanya hicho kitendo ndio maana raia wakachukua jukumu la kuwakanya...so sad!!
 
Hakuna sehemu watoto wanaharibiwa kama kwenye hizi madrassa

Kwanza pole kwa kutokuelewa baadhi ya mambo basic.
Madrasa ni neno la kiarabu likiwa na maana ya shule. Kwahiyo siku nyingine usikosee tena.
Pia nidham iliyopo upande wa uislam kuhusu jinsi ya kuchanganyika watu wa jinsia tofauti hairuhusu mabinti kuwa closely na watoto wa kiume.
Kwahiyo futa mawazo kuwa watoto wanaharibika madrasa.
 
Maadili yanahusika hapa, hao watoto wangelelewa katika Tabia za kiislam wasingethubutu kufanya hayo.

mnakera sana kila mara kuwajudge watu kwa imani zao. hya Mama mkubwa wa marehemu Nasra na mumewe plus baba yake walilewa katika imani ipi ? hadi kupelekea kutesa kiumbe yule? stop this overgeneralization habit pse!
 
ndo madhara ya kuishi mjini nyumba ina vyumba viwili mama na baba wanavyonaniliii inakuwa sio siri kama zamani kaka au dada analala sebuleni kila kitu kinakuwa hadharani matokeo yake ndo hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…