mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,607
- 4,902
Tanzania HAKUNA celebrity, ukiona maisha magumu jiunge na Facebook ama Instagram kisha jipige picha ukiwa umevaa chupi tu ama jipige vidole na kujifanya huna akili, kesho tu utaandikwa kwenye mitandao kuwa wewe ni celebrity ama mtu mashuhuri.Sijuagi ata u selebriti wake kaupataje na ilikuaje