Wema,Uwoya,Kajala na umaharufu wao wote na connections zao zote wamekosa shughuri rasmi za kuwaingizia kipato na kuwapa heshima kwenye jamii,asilimia 80 ya walivyonavyo,wamevipata kwa kudanga!??Leo nilikuwa benki moja katika hali ya kushangaza teller aliyenihudumia alikuwa ni mwanadada Kajala. Kwa sababu za kibiashara inabidi jina la benki libaki kapuni. Hongera dada katika safari yako mpya
View attachment 1978706View attachment 1978708
Kaupata sababu ya kusaidiwa Na Wema Na tako piaSijuagi ata u selebriti wake kaupataje na ilikuaje
Kugongwa na kuzalishwa na P.Funk Majani kinywele kimoja.Sijuagi ata u selebriti wake kaupataje na ilikuaje
Namba hutoi na jina la benki hutoi kweli wewe ni msaga sumu, a menace to society.
Kitambo sana, old school movie
Utawaacha watoto wengi ..japo kuna mavijana majanja nayo hayajaonaga hizi ..
Kwa hiyo hizo ndio sifa za mtu kuwa celebrity hapa bongo?Kajala kaanza manjonjo long time tangu anasoma kumbukumbu primary school...
Zamani ulikuwa humkosi kwenye mabeach party,bills,kili poolside,langatq yuko na wenzake wana sasambua wakicheza show
Ila kama ni gari basi imetembea mileage za kutosha sema service ipo
Ova
Hahaha umeuwaaSasa sababu za kibiashara kivipi wabongo kwa ushamba bwana nyie ndo mkiwa viongozi mnasema mtu asipige picha kwenye pantoni na Daraja la Kigamboni eti kwa sababu za kiusalama.