Kahawa: Tanzania maarufu tena Duniani

Kahawa: Tanzania maarufu tena Duniani

Habari zenu wakuu, basi leo wakati wa lunch nikasema ngoja leo nikanunue coffee kidogo, kwakweli sipendelei sana kwenda kwenye haya maduka ya rejareja yaliyotapakaa sana hapa Canada na sehemu nyingi duniani. SEVEN ELEVEN ni franchise convenience store zilizotapakaa kila sehemu ya USA na CANADA na kwa Mara ya kwanza wameipitisha kahawa ya Tanzania kama the best coffee in the world na baada ya kuuza sana kahawa ya Indonesia wamegundua kahawa ya Tanzania ni nzuri kuliko hiyo, Kuanzia last month Seven Eleven zote 53,000 ambazo zimetapakaa kote duniani wameanza kuuza kahawa ya Tanzania.

Binafisi naona hiyo ni milango iko wazi kwa mara nyingine tena kwa wakulima wetu wa kahawa, Serikari ingeanzia hapo kuwasaidia wakulima wa kahawa na viwanda vya kahawa kuanza sasa kuchangamkia soko ambalo tayari Seven Eleven wameshalifungua hasa kwa kuanza kuuza kahawa yetu kwenye store kubwa huku North America kama Super store, Walmart, na nyinginezo.

Baada ya kuongea na store manager mmoja wa Seven Eleven hapa jana, ameniambia kwakweli hii kahawa inapendwa sana kwasababu ina kautamu frani tofauti na zingine. Ni kahawa mbili tu zinauzwa Seven Eleve, Tanzanian coffee na Blazilian coffee. Tuchangamkie mapema hili soko kabla watoto wa jirani kwa mama NGINA hawajatuvuruga make hao mshipa wa noma umeshakatika hawachelewi kuuza kahawa yao na kui label made in Tanzania. Source mimi mwenyewe nimenunua Tanzanian coffee hapa CA..

THE DEFINITIVE TOP 10 COFFEE-GROWING COUNTRIES IN THE WORLD, RANKED BY EXPERTS

BY DAN GENTILE
@dannosphere

JENNIFER BUI
If coffee growing was an Olympic event, it'd be a marathon not a sprint. And not just because Africa totally dominates. Being a coffee superpower requires years of economic, infrastructural, and government investment. Plus a bean-friendly terrior, farmers dedicated to quality control, and a trust in industry buyers to bring the beans to the masses.
So, which countries shell out the best beans? To get an idea, we asked a group of 11 roasters and writers to weigh in. Obviously, with all of the variables involved, naming favorite countries is not an easy task. Almost all of our contributors expressed hesitation about throwing their hat into the ring (too much Deadly Grounds, perhaps), and one roaster even pulled their choices for fear of upsetting their farmers.
Naturally, personal bias in taste, education, and life experience influence one's picks, but by polling a diverse cross-section of the coffee world, we feel like this is an honest pulse of the industry, as taken from some of its finest minds. Dare we say 'definitive'? To the dismay of the comments section, we dare. Here are the results, with the reasoning below.



MORE STUFF YOU WILL LIKE

the-definitive-top-10-coffee-growing-countries-in-the-world-ranked-by-experts

 
angalau WACHAGGA watarudi kwenye CHATI-ya Ulimaji wa Kahawa.....na wakule ROMBO watamudu kuhudumia MAMA yeyoooo

serikali zilizopita ziliua kahawa ili kuleta usawa wa umaskini kwa makabila yote, ulimbukeni mkubwa huu!
 
Asante mkuu nitazitembelea jumatano hii alafu nitakupa feedback.
 
Siku moja mtoto kutoka kwa Mama Ngina aliniona na kahawa toka Tanzania akaniambia hiyo kahawa inatoka nchini kwao, akazidi kukadhia ni tamu sana na very expensive nikamuuliza unauhakika akasema ndio nikamwambia hebu soma hapa kwenye kopo, kusoma kuona inatoka TZ akastaajabu sana.
 
Sijaona Tanzania coffee hapa ca bado
 
Mkuu Ngofilo baba yangu kule machame alikuwa mkulima bora sana wa kahawa ila sasa ameamua kungoa kahawa na kuotesha ndizi au migomba maana bei ya kutunza kahawa hadi uje uuze kilo moja kwa 2000 hailipi kabisa

Mkungu mmoja wa ndizi 30,000 na haina gharama zozote za matunzo

sonu nkokashu masama mangi
cc 2shang,oa kahawa ni migomba imebaki
 
Last edited by a moderator:
Siku moja mtoto kutoka kwa Mama Ngina aliniona na kahawa toka Tanzania akaniambia hiyo kahawa inatoka nchini kwao, akazidi kukadhia ni tamu sana na very expensive nikamuuliza unauhakika akasema ndio nikamwambia hebu soma hapa kwenye kopo, kusoma kuona inatoka TZ akastaajabu sana.

Mkuu Siimak, sasahivi iko 7/11 zote ca usiende tena Timms..
 
Nina soko la kahawa kama kuna mtu anaweza kuipata anaweza kuni Pm.
 
waltham ni kweli hizo coffee ulizotaja hapo ni maarufu, lakini usisahau hawa judges wako influenced sana na lobbyist na business strategists tena wanakula commissions kubwa sana because they are used as marketing tools
 
Last edited by a moderator:
waltham


Kampuni inaweza kufanya survey na kuonyesha kahawa ya nchi fulani inapendwa.

Mwisho wa siku ni Fedha. Je, Kenya inazalisha kuliko Uganda na Tanzania?

Pesa haipo kwenye migahawa bali katika makampuni ya kimataifa kama nestle.

Pia, Kama umesafiri utajua kuwa makampuni wanachanganya kahawa ya nchi tofauti katika paketi. Itasema " arabica coffee from Brazil and Ethiopia" kwa mfano.

Ndiyo maana wenzenu kama Brazil, huwezi kushindana naye. Hata wapende vipi kikombe cha kahawa cha Kenya katika migahawa ya Starbucks na sehemu nyingine.

Naomba unionyeshe sehemu nimesema Tanzania ni number one katika uzalishaji. Pia, nionyeshe uzalishaji wenu duniani. Hata top 10 hampo ila mnapenda sifa za kijinga,
Tanzania inazalisha kuliko Kenya na Uganda yupo mbele kabisa.
Mimi natowa huu ushahidi, katika uzalishaji duniani, hampo.


Aug. 19 (Bloomberg) -- The following is a table of the world’s 10 largest coffee-producing nations, measured in thousands of bags, for the 2010-2011 crop year. One bag weighs 60 kilograms (132 pounds).
Data are from the U.S. Department of Agriculture.

World's top 10 coffee producers:

1) Brazil 54,500
2) Vietnam 18,725
3) Colombia 9,500
4) Indonesia 9,325
5) India 5,100
6) Ethiopia 4,400
7) Honduras 4,000
8) Peru 4,000
9) Guatemala 3,910
10) Mexico 3,700


ARABICA BEANS:
1) Brazil 41,800
2) Colombia 9,500
3) Ethiopia 4,400
4) Honduras 4,000
5) Peru 4,000
6) Guatemala 3,900
7) Mexico 3,500
8) Nicaragua 2,000
9) El Salvador 1,700
10) Costa Rica 1,575


ROBUSTA BEANS
1) Vietnam 18,150
2) Brazil 12,700
3) Indonesia 7,950
4) India 3,600
5) Cote d’Ivoire 2,100
6) Uganda 1,900
7) Malaysia 1,000
8) Thailand 900
9) Cameroon 525
10) Togo 525

Kenya iko wapi hapo?

source: Bloomberg.com



Coffee exporters 2014

Country60 kilogram bags


Brazil 45,342,000
Vietnam 27,500,000
Colombia 11,600,000
Indonesia 6,850,000
Ethiopia 6,500,000
India 5,005,000
Mexico 4,500,000
Guatemala 4,000,000
Peru 3,500,000
Honduras 2,700,000
UGANDA. 2,500,000
Ivory Coast 2,350,000
Costa Rica 1,808,000
El Salvador 1,374,000
Nicaragua 1,300,000
Papua New Guinea1,125,000
Ecuador 1,000,000
Thailand 1,000,000
TANZANIA. 917,000
Dominican Republic900,000
KENYA. 850,000
Venezuela 850,000
Cameroon 750,000

Usipende ubishi bila ya kujipanga vizuri. Utaumbuka.

source: en.m.wikipedia.org
 
Last edited by a moderator:
Hebu tumwelewe mleta mada, nilivyomwelewa mimi jamaaa anaongelea ubora wa kahawa katika matumizi yake kwamba kahawa kutoka kwetu inashika rank nzuri sana, ila nachokiona hapa ni wengi kuleta nchi zinazoongoza kwa kuzalisha kahawa,mnaongelea guantity, sasa tujadiri hoja ya ubora na si wingi kwasababu katika wingi ni wazi hilo sie hatuliwezi kwasababu ya mambo mengi tu.
 
serikali zilizopita ziliua kahawa ili kuleta usawa wa umaskini kwa makabila yote, ulimbukeni mkubwa huu!

Mkuu unaelewa sana, ndo serikali yenu hiyo badala ya kuchochea wao wanaweka kufuri maendeleo na tunayaona leo
 
waltham.

You will remember I've shown you QUALITY coffee in one of Kenya's rooms the other day.

Kahawa ya Kenya ina bei kama hii?

ImageUploadedByJamiiForums1433742946.859848.jpg

Hacienda La Esmeralda coffee looks fairly crowded, with this bean having been awarded first place at various worldwide cuppings thirteen times since 2004.

The most recent record that this coffee set? A whopping $350.25 per POUND (453 g) at the 2013 Best of Panama Auction – Naturals Category.

Grown in the shade of guava trees on the slopes of Mount Barú in Panama, this bean is highly sought after and only cultivated in small quantities. It is a rarity and delicacy in the coffee world, and a once in a lifetime must for any coffee connoisseur.

Kenya ikifikia kuuza kahawa kwa US$ 350 kwa gramu 453, mtakuwa na haki ya kujigamba gamba.

PS... You think they need a stupid survey to sell this coffee?

source:financesonline.com
 
Last edited by a moderator:
Kila m2 anajua fika kuwa ni njama zilitumika kuporomosha kahawa lakin sawa 2 yupo mungu
lakin cha kushukuru mungu ni kuwa tayar ilishasomesha watoto wao
huku kwe2 zaman ulikuwa ukiskia 2 kuwa kuna m2 kauza kahawa! Weeee kila mtu anajua fika kuwa hapo ni pesa nying 2
leo hii 2nakata mim mwenyewe nilianza kufanya miti yake kuni 2 baada ya kuona haina dili
ndo srkl 2lonayo haina usawa na ina wivu na maendeleo ya wananch wake
 
Back
Top Bottom