Watanzania mnashangilia jambo lisilokuwa na uhalisia Tanzania kushika number moja sio kama inalimwa na Watanzania totally.Pamoja na serikali mbovu hivi ila tunang'aa kimataifa.
Big up juhudi binafsi
waltham.
You will remember I've shown you QUALITY coffee in one of Kenya's rooms the other day.
Kahawa ya Kenya ina bei kama hii?
View attachment 258331
Hacienda La Esmeralda coffee looks fairly crowded, with this bean having been awarded first place at various worldwide cuppings thirteen times since 2004.
The most recent record that this coffee set? A whopping $350.25 per POUND (453 g) at the 2013 Best of Panama Auction Naturals Category.
Grown in the shade of guava trees on the slopes of Mount Barú in Panama, this bean is highly sought after and only cultivated in small quantities. It is a rarity and delicacy in the coffee world, and a once in a lifetime must for any coffee connoisseur.
waltham
Kampuni inaweza kufanya survey na kuonyesha kahawa ya nchi fulani inapendwa.
Mwisho wa siku ni Fedha. Je, Kenya inazalisha kuliko Uganda na Tanzania?
Pesa haipo kwenye migahawa bali katika makampuni ya kimataifa kama nestle.
Pia, Kama umesafiri utajua kuwa makampuni wanachanganya kahawa ya nchi tofauti katika paketi. Itasema " arabica coffee from Brazil and Ethiopia" kwa mfano.
Ndiyo maana wenzenu kama Brazil, huwezi kushindana naye. Hata wapende vipi kikombe cha kahawa cha Kenya katika migahawa ya Starbucks na sehemu nyingine.
Naomba unionyeshe sehemu nimesema Tanzania ni number one katika uzalishaji. Pia, nionyeshe uzalishaji wenu duniani. Hata top 10 hampo ila mnapenda sifa za kijinga,
Tanzania inazalisha kuliko Kenya na Uganda yupo mbele kabisa.
Mimi natowa huu ushahidi, katika uzalishaji duniani, hampo.
Aug. 19 (Bloomberg) -- The following is a table of the worlds 10 largest coffee-producing nations, measured in thousands of bags, for the 2010-2011 crop year. One bag weighs 60 kilograms (132 pounds).
Data are from the U.S. Department of Agriculture.
World's top 10 coffee producers:
1) Brazil 54,500
2) Vietnam 18,725
3) Colombia 9,500
4) Indonesia 9,325
5) India 5,100
6) Ethiopia 4,400
7) Honduras 4,000
8) Peru 4,000
9) Guatemala 3,910
10) Mexico 3,700
ARABICA BEANS:
1) Brazil 41,800
2) Colombia 9,500
3) Ethiopia 4,400
4) Honduras 4,000
5) Peru 4,000
6) Guatemala 3,900
7) Mexico 3,500
8) Nicaragua 2,000
9) El Salvador 1,700
10) Costa Rica 1,575
ROBUSTA BEANS
1) Vietnam 18,150
2) Brazil 12,700
3) Indonesia 7,950
4) India 3,600
5) Cote dIvoire 2,100
6) Uganda 1,900
7) Malaysia 1,000
8) Thailand 900
9) Cameroon 525
10) Togo 525
Kenya iko wapi hapo?
source: Bloomberg.com
Coffee exporters 2014
Country60 kilogram bags
Brazil 45,342,000
Vietnam 27,500,000
Colombia 11,600,000
Indonesia 6,850,000
Ethiopia 6,500,000
India 5,005,000
Mexico 4,500,000
Guatemala 4,000,000
Peru 3,500,000
Honduras 2,700,000
UGANDA. 2,500,000
Ivory Coast 2,350,000
Costa Rica 1,808,000
El Salvador 1,374,000
Nicaragua 1,300,000
Papua New Guinea1,125,000
Ecuador 1,000,000
Thailand 1,000,000
TANZANIA. 917,000
Dominican Republic900,000
KENYA. 850,000
Venezuela 850,000
Cameroon 750,000
Usipende ubishi bila ya kujipanga vizuri. Utaumbuka.
source: en.m.wikipedia.org
waltham ni kweli hizo coffee ulizotaja hapo ni maarufu, lakini usisahau hawa judges wako influenced sana na lobbyist na business strategists tena wanakula commissions kubwa sana because they are used as marketing tools
waltham
Kampuni inaweza kufanya survey na kuonyesha kahawa ya nchi fulani inapendwa.
Mwisho wa siku ni Fedha. Je, Kenya inazalisha kuliko Uganda na Tanzania?
Pesa haipo kwenye migahawa bali katika makampuni ya kimataifa kama nestle.
Pia, Kama umesafiri utajua kuwa makampuni wanachanganya kahawa ya nchi tofauti katika paketi. Itasema " arabica coffee from Brazil and Ethiopia" kwa mfano.
Ndiyo maana wenzenu kama Brazil, huwezi kushindana naye. Hata wapende vipi kikombe cha kahawa cha Kenya katika migahawa ya Starbucks na sehemu nyingine.
Naomba unionyeshe sehemu nimesema Tanzania ni number one katika uzalishaji. Pia, nionyeshe uzalishaji wenu duniani. Hata top 10 hampo ila mnapenda sifa za kijinga,
Tanzania inazalisha kuliko Kenya na Uganda yupo mbele kabisa.
Mimi natowa huu ushahidi, katika uzalishaji duniani, hampo.
Aug. 19 (Bloomberg) -- The following is a table of the worlds 10 largest coffee-producing nations, measured in thousands of bags, for the 2010-2011 crop year. One bag weighs 60 kilograms (132 pounds).
Data are from the U.S. Department of Agriculture.
World's top 10 coffee producers:
1) Brazil 54,500
2) Vietnam 18,725
3) Colombia 9,500
4) Indonesia 9,325
5) India 5,100
6) Ethiopia 4,400
7) Honduras 4,000
8) Peru 4,000
9) Guatemala 3,910
10) Mexico 3,700
ARABICA BEANS:
1) Brazil 41,800
2) Colombia 9,500
3) Ethiopia 4,400
4) Honduras 4,000
5) Peru 4,000
6) Guatemala 3,900
7) Mexico 3,500
8) Nicaragua 2,000
9) El Salvador 1,700
10) Costa Rica 1,575
ROBUSTA BEANS
1) Vietnam 18,150
2) Brazil 12,700
3) Indonesia 7,950
4) India 3,600
5) Cote dIvoire 2,100
6) Uganda 1,900
7) Malaysia 1,000
8) Thailand 900
9) Cameroon 525
10) Togo 525
Kenya iko wapi hapo?
source: Bloomberg.com
Coffee exporters 2014
Country60 kilogram bags
Brazil 45,342,000
Vietnam 27,500,000
Colombia 11,600,000
Indonesia 6,850,000
Ethiopia 6,500,000
India 5,005,000
Mexico 4,500,000
Guatemala 4,000,000
Peru 3,500,000
Honduras 2,700,000
UGANDA. 2,500,000
Ivory Coast 2,350,000
Costa Rica 1,808,000
El Salvador 1,374,000
Nicaragua 1,300,000
Papua New Guinea1,125,000
Ecuador 1,000,000
Thailand 1,000,000
TANZANIA. 917,000
Dominican Republic900,000
KENYA. 850,000
Venezuela 850,000
Cameroon 750,000
Usipende ubishi bila ya kujipanga vizuri. Utaumbuka.
source: en.m.wikipedia.org
alitaka tujue kuwa canada.
Huku Bukoba mibuni ilishatoweka kitambo, tunalima vanilla, wakati huu pia hela ya mboga kutoka kwa ma Tiba inasaidia kidogo, nawaonea wivu watu wa moshi. In fact wahaya nani katuroga?
Ngoja niburudike kidogo na muziki wa jamaa anayejiita "Obugwaizoba"
Bukoba obugwaizoba, kazirooo maweee, Prof. Mukandara, Prof. Rwaitama, .....njoo tujenge Bukoba yetuuuuuu X3....
Kahawa ni nzuri sana ila mimi nikinywaga sijui kwanini mapigo ya moyo yanaenda mbio sana na sweat hadi nakosa nguvu.
Watanzania mnashangilia jambo lisilokuwa na uhalisia Tanzania kushika number moja sio kama inalimwa na Watanzania totally.
Hiyo ni nembo tu kiwanda chochote kinaweza weka ili kupata wateja sababu ya reputation nzuri ya Kahawa ya Tanzania kama unataka kujua kama uhalisia wa hii promotion ipo kawatathmin wakulima wa Kahawa vijijini.
Tuombe Mungu na bidii kwa sana tutaweza
Kahawa ya Tanzania imeuliwa na wivu wa kike wa Benjamin Mkapa kwa Wachagga aliona kama Wachagga wataitawala nchi akaondoa ruzuku kwa wakulima na
Bei ikashushwa masoko yakatoweka.