Ngofilo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 221
- 66
Habari zenu wakuu, basi leo wakati wa lunch nikasema ngoja leo nikanunue coffee kidogo, kwakweli sipendelei sana kwenda kwenye haya maduka ya rejareja yaliyotapakaa sana hapa Canada na sehemu nyingi duniani. SEVEN ELEVEN ni franchise convenience store zilizotapakaa kila sehemu ya USA na CANADA na kwa Mara ya kwanza wameipitisha kahawa ya Tanzania kama the best coffee in the world na baada ya kuuza sana kahawa ya Indonesia wamegundua kahawa ya Tanzania ni nzuri kuliko hiyo, Kuanzia last month Seven Eleven zote 53,000 ambazo zimetapakaa kote duniani wameanza kuuza kahawa ya Tanzania.
Binafisi naona hiyo ni milango iko wazi kwa mara nyingine tena kwa wakulima wetu wa kahawa, Serikari ingeanzia hapo kuwasaidia wakulima wa kahawa na viwanda vya kahawa kuanza sasa kuchangamkia soko ambalo tayari Seven Eleven wameshalifungua hasa kwa kuanza kuuza kahawa yetu kwenye store kubwa huku North America kama Super store, Walmart, na nyinginezo.
Baada ya kuongea na store manager mmoja wa Seven Eleven hapa jana, ameniambia kwakweli hii kahawa inapendwa sana kwasababu ina kautamu frani tofauti na zingine. Ni kahawa mbili tu zinauzwa Seven Eleve, Tanzanian coffee na Blazilian coffee. Tuchangamkie mapema hili soko kabla watoto wa jirani kwa mama NGINA hawajatuvuruga make hao mshipa wa noma umeshakatika hawachelewi kuuza kahawa yao na kui label made in Tanzania. Source mimi mwenyewe nimenunua Tanzanian coffee hapa CA..
Binafisi naona hiyo ni milango iko wazi kwa mara nyingine tena kwa wakulima wetu wa kahawa, Serikari ingeanzia hapo kuwasaidia wakulima wa kahawa na viwanda vya kahawa kuanza sasa kuchangamkia soko ambalo tayari Seven Eleven wameshalifungua hasa kwa kuanza kuuza kahawa yetu kwenye store kubwa huku North America kama Super store, Walmart, na nyinginezo.
Baada ya kuongea na store manager mmoja wa Seven Eleven hapa jana, ameniambia kwakweli hii kahawa inapendwa sana kwasababu ina kautamu frani tofauti na zingine. Ni kahawa mbili tu zinauzwa Seven Eleve, Tanzanian coffee na Blazilian coffee. Tuchangamkie mapema hili soko kabla watoto wa jirani kwa mama NGINA hawajatuvuruga make hao mshipa wa noma umeshakatika hawachelewi kuuza kahawa yao na kui label made in Tanzania. Source mimi mwenyewe nimenunua Tanzanian coffee hapa CA..