Kahawa ni kitu ghali sana😧

Kahawa ni kitu ghali sana😧

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
11,690
Reaction score
20,742
Huko nyuma gram 50 za Africafe zilikuwa Tsh 4000. Leo hii zimefika 7,000!! Utafikiri hatulimi wenyewe. Kwa hizi hesabu kilo ya kahawa itakuwa Tsh 140,000.

Laki moja na arobaini! Nadhani wakaanga kahawa wa kitaa wanahitajika kwa wingi.

images - 2026-09-17T183649.205.jpeg
 
Hamasikenj sasa kulima kahawa.
Ukilima kahawa Tanzania unakuwa masikini tu maana inakodi kama zote. Pale Kagera, kahawa Tanzania inauzwa bei ndogo kuliko kahawa hiyo hiyo inayouzwa Uganda.

Na ukijaribu kuvusha ukauze Uganda unakamatwa uhujumu uchumi kwa kusafirisha magendo

Watu wa Kilimanjaro wanakaribia kumaliza kuing'oa kwenye mashamba yao. Hawaitaki kabisa
 
Ukilima kahawa Tanzania unakuwa masikini tu maana inakodi kama zote. Pale Kagera, kahawa Tanzania inauzwa bei ndogo kuliko kahawa hiyo hiyo inayouzwa Uganda.

Na ukijaribu kuvisha ukauze Uganda inakamatwa uhujumu uchumi kwa kusafirisha magendo

Watu wa Kilimanjaro wanakaribia kumaliza kuing'oa kwenye mashamba yao. Hawaitaki kabisa
ndiyo maana huwa tunasema ogopa kilimo cha kwenye internet
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom