Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,196
- 2,151
acha kuongea kishabiki mzee, mimi nimeishi Tunduma na nimeishi KahamaUna shida mahala wewe sio bure..Kwa taarifa yako saizi ndio kumenoga zaidi..
acha kuongea kishabiki mzee, mimi nimeishi Tunduma na nimeishi KahamaUna shida mahala wewe sio bure..Kwa taarifa yako saizi ndio kumenoga zaidi..
Jamaa wamechelewa sana
Ucha kutuonyesha guest bubu hotel ni hiiMapovu mengi Sana mkuu picha ndio zinaongea ..
Ujinga Hill Hotel,Kahama nzima hakuna
Huwezi kupata viwanja vikali kama hvii tunduma
Kama bando huna shauri lako
Ucha kutuonyesha guest bubu hotel ni hii
Kama huna bando useme
Kahama nzima ina majengo mazuri ma 4 tuu likiwemo hili la msaada kutoka Nssf 😁😁..Tunduma yote ukiniletea uwekezaji mkubwa kama huu ...niite mbwa na sitachangia kwenye huu Uzi
View attachment 2345060
Kweli usukuma ushamba, lengo la mada ni kulinganisha tunduma na kahama in term of fulsa za biashara. Wewe umekuja kubishana idadi ya baiskeri na bajaji.Hvyo vi hotel vyako kwa kahama ni vihotel vya uchocholoni.kahama ni munispal .tundumu ni halimashauli ya mji.mzunguko wa pesa kahama huwezi linganisha na tunduma.tunduma Kuna vibajaji vingi,pikipiki za kuhesabu tax hazizidi 20 mji mzina.kahama Kuna baiskel,bajaji za kutosha ,pikipiki za kutosha mabasi ya kutosha kwenda mikoa zaidi ya 14.kahama Ina Magali ya abilia kama hiace ya kwenda sehem nyingi tofauti kama ushilombo,kagongwa,shy,tinde,isaka,lunzewe kwa njia nyingi tofauti tofauti.ila tunduma inanjia 4 tu.ya kwenda Malawi,ambayo Gali zake ni chache sana.kwenda boda hakuna hiace kabisa,kwenda njia ya mbeya ndio Kuna coster na hiace za kwenda mlowo.mpaka mbeya.njia ya sumbawanga napo Kuna hiace japo ni chache sana.ila kwa kahama Kuna njia zote isaka mpaka shy Gali kibao.njia ya masumbwe Gali kibao njia ya short cut ya kutokezea tabora zipo kibao njia ya kwenda kakola zipo kibao njia ya kutokezea msalala Gali zipo kibao.mzunguko wa pesa kahama upo zaidi kwa kuwa kahama ndio sehem kuu ya kununua bidhaa kwa miji yote iliyoizunguka iliyo na migodi na isiyo na migodi tofauti na tunduma.tunduma vitu vinabei ya juu.ukivuka border unaenda kununua kuanzia nguo,vitenge mafuta,viatu,petrol vyote vipo chini kuliko tunduma.tunduma malori na mpaka ndio vinavyouchangamsha mji.kuanzia kule kwa mpemba zile yard za Magali na gest ndio zinazoupatia mji wa tunduma mapato.ila kahama Kuna kilimo Cha mpunga,migodi,na biashara
Kwa hiyo Kahama kumeendelea na Kuna Pesa kuliko Tunduma? 😆😆acha kuongea kishabiki mzee, mimi nimeishi Tunduma na nimeishi Kahama
Tushawatajia tayari.benki ,hotel, biashara Kila kitu mnazidiwa .Kwa hiyo Kahama kumeendelea na Kuna Pesa kuliko Tunduma?
Kwa kipi ambacho Kahama imeizidi Tunduma? Kitaje hapa
Huna lolote ..ww ndo utakimbiaTunduma ina hotel wewe tena za maana,ngoja niandae picha ila usije kukimbia.
Maneno matupu hayawezi kukusaidiaUnaijua Tunduma au unahadithiwa? Kwa viwanja vya starehe Tunduma ni Kiboko..
Njombe imewatandika nje ndani Tunduma hamuiwezi.