Picha ndio zinaongea sio porojo..Usifananishe tunduma na vitu vya ajabu ajabu.🤣 alisikika jamaa ambaye ni mnyiha wa mlowo mbozi.
Jamaa wa kahama yeye anasema hiyo tunduma ifananishe na kondoa ndio level yake.
Sawa ni mavumbi, sasa inakuuma nini...?! kwani wamekulalamikia...?!Umeandika nini wewe? Barabara ziko Kusini huko migodini ni mavumbi tupu
ni mwaka 2014Mwaka 2006..
Mada ni Kahama vs Tunduma.
Kwa sasa Tunduma kuna biashara zaidi kuliko ilivyokuwa zamani maana Mji umekuwa mkubwa kweli kweli.Nasikia tunduma kumenoga kibiashara miaka hii, Mara ya mwisho kwenda mwaka 2002 nikiwa na age 27, palikuwa bize Sana kibiashara ,kipindi hiko tulikuwa tunadili na vitenge na vipodozi kuleta dar
Sweet home 👇Karibu border ya wajanja, karibu mji wenye mpaka na Malawi na Zambia pia ndo get way to Congo and south Africa. Karibu mji wenye trucks I mean ma lories mengi yanayopita kwenda nje, karibu kwenye border kubwa Tanzania nzima! Kahama pazuri ki madini kama uko sector hiyo Tunduma pazuri kibiashara , clearing and Kilimo maana ni sehemu ya basket ya Taifa.
Hakuna mtu anasema kuna maajabu lakini nadhani Tunduma ni zaidi ya Kahama..nimetoka tdm juzi nipo hapa bariadi bado sijafika kahama
Nitaleta mrejejesho ila tdm nimeishi sana sijaona maajabu kivile!
Kigezo kilikuwa mihemko ya Jiwe..Yote ni Miji Mikubwa lakini ukae ukijua Kahama ni Halmashauri ya Manispaa. Sasa ni vyema mleta maada utuambie ni vigezo gani vinatumika mji kupewa hadhi ya manispaa
Hakuna mtu anasema kuna maajabu lakini nadhani Tunduma ni zaidi ya Kahama..
Mji umekuwa mkubwa kiasi chake kwa sasa na unakua kwa Kasi kuliko hapo zamani.
Nikifika kahama kwanza ndo ntajua km kuna utofauti wa hio miji miwili
wewe ulishafika khm au unaleta ushabiki tu?!
Zipo lkn huwezi kulinganisha na Tunduma.Kweni Tunduru hakuna mishe mishe?
Hata sasa hivi Mambo ni moto.Nasikia tunduma kumenoga kibiashara miaka hii, Mara ya mwisho kwenda mwaka 2002 nikiwa na age 27, palikuwa bize Sana kibiashara ,kipindi hiko tulikuwa tunadili na vitenge na vipodozi kuleta dar
Yani katikati ya jiji la Mbeya asilimia kubwa ya nyumba za pale zimejengwa kwa tofali za kuchomaNimewahi lala sehemu inaitwa sijui Mpemba au sikosei kwa Mpemba
Sina hamu na Tunduma
Guest chafu chafu sana sana
Pale Tunduma kwenyewe sikuona jipya zaidi ya watu wanaobadilisha Fedha za kigeni
Hivi jamani watu huwa mnatembea kweli?
Tunduma hii ya Mbeya ilivyochoka vile unaleta ushabiki
Mbeya mjini tu choka Mbaya sana, Nyumba hazina mpangilio