amate
Senior Member
- Feb 23, 2017
- 157
- 377
Moja kati ya maeneo muhimu sana kuishi na kufanya biashara ya mazao (Mahindi, Ulezi, Maharagwe,.....) hapa Tanzania ni Tunduma border. Kwa siku kadhaa nilizoishi hapa Tunduma nmegundua vitu vifuatavyo na kuhisi kama ni eneo mhimu sana kweny biashara.
1. WATU WENGI
Tunduma ina watu wengi sana. Population ilioko Tunduma sehem zote (Tunduma TZ na Nakonde Zambia) zinaweza kubalibiana na jiji la mwanza kwa ukubwa na Population ya watu pamoja na magari.
2. BIASHARA
Mji wa Tunduma una kila aina ya biashara (Mazao, machinga, viwanda vidogo vidogo, maduka, nk). Kwakweli huwezi kuishi Tunduma ukakosa kazi.
3. UTULIVU
Tunduma na Nakonde kwa pamoja pametulia. Hakuna vurugu kati ya wazambia na watz kimasilahi.
4. KILIMO
Wilaya ya Tunduma mpaka sumbawanga hiyo lain inalima mahindi kwa wingi sana. Kwahiyo ukiishi tunduma mjin unaweza kuwa na access ya kulima mahindi pia.
5. TUNDUMA NI NZURI SANA........
1. WATU WENGI
Tunduma ina watu wengi sana. Population ilioko Tunduma sehem zote (Tunduma TZ na Nakonde Zambia) zinaweza kubalibiana na jiji la mwanza kwa ukubwa na Population ya watu pamoja na magari.
2. BIASHARA
Mji wa Tunduma una kila aina ya biashara (Mazao, machinga, viwanda vidogo vidogo, maduka, nk). Kwakweli huwezi kuishi Tunduma ukakosa kazi.
3. UTULIVU
Tunduma na Nakonde kwa pamoja pametulia. Hakuna vurugu kati ya wazambia na watz kimasilahi.
4. KILIMO
Wilaya ya Tunduma mpaka sumbawanga hiyo lain inalima mahindi kwa wingi sana. Kwahiyo ukiishi tunduma mjin unaweza kuwa na access ya kulima mahindi pia.
5. TUNDUMA NI NZURI SANA........