ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,390
- 85,220
- Thread starter
-
- #17,481
Bukoba wameanza ujenzi wa Dual carriageway..barabara ya njia nne...kutoka Rwamishenye kupita city centre hadi Bandari ya Bukoba urefu wa km km 4.6...
Umchukie au umpende haiondoi ukweli kwamba Samia amefunika legacy 🤣🤣Bukoba wameanza ujenzi wa Dual carriageway..barabara ya njia nne...kutoka Rwamishenye kupita city centre hadi Bandari ya Bukoba urefu wa km km 4.6...
Ni kama nimeanza kumpenda mama sasa maana ameikumbuka Bukoba kuliko hata magu na siasa zake zake za kubagua mikoa ya upinzani...
Bukoba kuna ujenzi wa bandari upya, stendi kuu ya daladala, uwekaji wa taa za kuongoza ndege airport, chuo kikuu UDSM na Nelson Mandela, nk nk
Bukoba inarudi ktk status yake sasa
View: https://youtu.be/5wy3ve2dGUk?si=LcCOtxZRL1bSwxgF
Hiv barabara ya njia nne ya billion 21 ndo inakuwaje mkuu...Km 4.6 tu....Umchukie au umpende haiondoi ukweli kwamba Samia amefunika legacy 🤣🤣
Walau ka Bukoba kataikatibia Sumbawanga 😁😁
Sumbawanga size yake ni muleba mkuu...Umchukie au umpende haiondoi ukweli kwamba Samia amefunika legacy 🤣🤣
Walau ka Bukoba kataikatibia Sumbawanga 😁😁
Hakika mnaneema likini upepo wa hawamu kwa Mwanza tunaisoma soma, jiji la Mwanzs halina dual carriage hata ya 1kmBukoba wameanza ujenzi wa Dual carriageway..barabara ya njia nne...kutoka Rwamishenye kupita city centre hadi Bandari ya Bukoba urefu wa km km 4.6...
Ni kama nimeanza kumpenda mama sasa maana ameikumbuka Bukoba kuliko hata magu na siasa zake zake za kubagua mikoa ya upinzani...
Bukoba kuna ujenzi wa bandari upya, stendi kuu ya daladala, uwekaji wa taa za kuongoza ndege airport, chuo kikuu UDSM na Nelson Mandela, nk nk
Bukoba inarudi ktk status yake sasa
View: https://youtu.be/5wy3ve2dGUk?si=LcCOtxZRL1bSwxgF
Leta picha.Mk
Sumbawanga size yake ni muleba mkuu...
Bukoba achana nayo....
Ile shopping mall yetu Iko hatua nzr sana
Nyumba kibao tu zimevunjwa hapo Bukoba na nyingine nyingi zitavunjwa ili barabara iwe njia nne...lakin kama kawaida ya wapinga maendeleo huwa hawakosi...wameanza kumfitinisha mbunge eti ndo amesababisha nyumba zivunjwe...jana kidogo alie wakati anakabidhi stendi...Hakika mnaneema likini upepo wa hawamu kwa Mwanza tunaisoma soma, jiji la Mwanzs halina dual carriage hata ya 1km
Hakika mnaneema likini upepo wa hawamu kwa Mwanza tunaisoma soma, jiji la Mwanzs halina dual carriage hata ya 1km
Waombe Kwa maandishi Kwa mama atawafikilia maana Kama anawachangia RC mil.100 hawezi shindwa kuwafikiria hao wapiga kura wake Kwa sababu Kuna uchaguzi.Bukoba wameanza ujenzi wa Dual carriageway..barabara ya njia nne...kutoka Rwamishenye kupita city centre hadi Bandari ya Bukoba urefu wa km km 4.6...
Ni kama nimeanza kumpenda mama sasa maana ameikumbuka Bukoba kuliko hata magu na siasa zake zake za kubagua mikoa ya upinzani...
Bukoba kuna ujenzi wa bandari upya, stendi kuu ya daladala, uwekaji wa taa za kuongoza ndege airport, chuo kikuu UDSM na Nelson Mandela, nk nk
Bukoba inarudi ktk status yake sasa
View: https://youtu.be/5wy3ve2dGUk?si=LcCOtxZRL1bSwxgF
Subiri nilete....wako ghorofa ya kwanzaLeta picha.
Watu wako ndani ya Hifadhi ya Barabara ya 22.5m Kila upande harafu badala ya kuomba kwamba wahurumiwe Kwa kuwa wamekaa hapo miaka na miaka wanaleta ukaidi.Nyumba kibao tu zimevunjwa hapo Bukoba na nyingine nyingi zitavunjwa ili barabara iwe njia nne...lakin kama kawaida ya wapinga maendeleo huwa hawakosi...wameanza kumfitinisha mbunge eti ndo amesababisha nyumba zivunjwe...jana kidogo alie wakati anakabidhi stendi...
Kuna hitajika mbunge mkakamavu na mwenye focus kuomba miradi kama hii mwanza na miji mikubwa...wabunge wengi wanaogopa lawama