Kahama VS Njombe/Mafinga

Huoni aibu ..inawachukua miaka 3 kupata 2trilion
..mwaka 2020 mlikuwa na trilion 8 Hadi Leo 2022 mna trilion 9....
Mwanza Kila mwaka inaongeza trillion 1.2 mnaipata lini
Kwani lazima kuipita Mwanza? Mda ukifika mtapitwa tuu.

Mwisho nyie ni wavivu ngoja kesho ntakavyowaaibisha kwenye par Capita
 
Naona Bukoba iko ligi na majiji....
Mkoa maskini zaidi wa kipato lakin naona ina watu wengi wenye uwezo wa kupanda ndege ....

Na bukoba hakuna utalii na nauli ndo kubwa zaidi kwa safari zote nchi hii


Bukoba mji wenye watu 150000 lakin una abiria wote hao wa ndege...
 
Naona Bukoba iko ligi na majiji....
Mkoa maskini zaidi wa kipato lakin naona ina watu wengi wenye uwezo wa kupanda ndege ....

Na bukoba hakuna utalii na nauli ndo kubwa zaidi kwa safari zote nchi hii


Bukoba mji wenye watu 150000 lakin una abiria wote hao wa ndege
 
Uchumi upi mnaoongoza ....tukiitoa chunya mtabaki na maharage
...kati ya trillion 9 ..chunya wana trillion 5 ,,
Trilioni 5 ya kitu gani? Unaijua Trilioni 5 au unapayuka tuu? Toka uhuru Mbeya ni 3 Kwa hiyo Chunya ndio ilikuwa inafanya nini?
 
Kwani wote wanaishia Bukoba?
 
Si wanaenda kwenye mkoa maskini wa kipato....
Lakin wakazi wake wana uwezo wa kupanda ndege tena pamoja na nauli yake kuwa juu zaidi ya safari zote za ndege nchi hii...

How
Wanaishi Mikoa ya watu baada ya kukimbia kwao.

Ni kama Njombe siku ikiwa na airport itakuwa kama Bukoba ndio maana Njombe Ina kampuni karibu 10 za Mabasi ya Dar -Njombe licha ya idadi ndogo ya watu.

Watu wake wako Mikoani Wana hela
 
Vitu piruu vya Mkurugenzi Kimbinyiko viko China mda wowote vinatua Bongo.

Atubadilishie Ile chuma chakavu ya Dom-Mbeya imeshachoka Mikdde
 
Wanaishi Mikoa ya watu baada ya kukimbia kwao.

Ni kama Njombe siku ikiwa na airport itakuwa kama Bukoba ndio maana Njombe Ina kampuni karibu 10 za Mabasi ya Dar -Njombe licha ya idadi ndogo ya watu.

Watu wake wako Mikoani Wana hela
Hebu acha hizo...njombe? Pambaneni wawe manispaa kwanza....

Kagera ingekuwa inakimbiwa isingekuwa na watu 2.9m na kuwa mkoa wa sita nchini kwa idadi ya watu
 
Hebu acha hizo...njombe? Pambaneni wawe manispaa kwanza....

Kagera ingekuwa inakimbiwa isingekuwa na watu 2.9m na kuwa mkoa wa sita nchini kwa idadi ya watu
Maskini akimbie aende wapi? Ana nauli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…