Kahama VS Njombe/Mafinga

Tumetoka kwenye G7 Tumeaanza mega .
...vipi hii kampuni gani
Mwanza na MEGA namba MUPYAView attachment 2706657

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
Msigwa watu wa Mbeya atawaletea lini G7.... EBJ series below.View attachment 2706654

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
MCV?
maake hapo kwanza nicheke

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
Mtaishia kuona Twitter tuu,Nyanda za Juu Kusini ni 🔥🔥🔥

Hapo Bado njia ya Mpanda -Uvinxa-Kasulu ikikamilika tutashihudia vitu piruu zaidi vya Kimataifa

Kampala-Lusaka
Kigali -Lusaka
Bujumbura-Lusaka
Bukavu/Goma-Kusaka

via Sumbawanga -Tunduma.
 
Jamani msichukie napita tuu

Mbeya ni hovyo kabisa


Haimo kwenye mikoa yenye abiria wengi wa ndege ....nbs
wameiweka kwenye mikoa mingine

Mikoa yenye abiria wengi wa ndege mwaka 2022
1 dar es salaam
2 Zanzibar
3 mwanza
4 Kilimanjaro
5 Arusha
6 dodoma
 
Kwani lazima tusafiri na ndege? Tulia dozi ikuingie tuko kwenye GDP ,mwaka huu 2023 Kwa mara ya kwanza tutasoma miamala ya GDP ya zaidi ya 10 Trilioni porojo za ndege tupa huko
 
Kwani lazima tusafiri na ndege? Tulia dozi ikuingie tuko kwenye GDP ,mwaka huu 2023 Kwa mara ya kwanza tutasoma miamala ya GDP ya zaidi ya 10 Trilioni porojo za ndege tupa huko
Huoni aibu ..inawachukua miaka 3 kupata 2trilion
..mwaka 2020 mlikuwa na trilion 8 Hadi Leo 2022 mna trilion 9....
Mwanza Kila mwaka inaongeza trillion 1.2 mnaipata lini
 
Kwani lazima tusafiri na ndege? Tulia dozi ikuingie tuko kwenye GDP ,mwaka huu 2023 Kwa mara ya kwanza tutasoma miamala ya GDP ya zaidi ya 10 Trilioni porojo za ndege tupa huko
Ndipo mjue nyie ni maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…