Kahama VS Njombe/Mafinga

You're such a dumb ...Kwa hyo wew Kwa akili zako unajua mall ni super market tu ......nenda kujifunze maana ya mall ndo uje tujadili hapa
 
You're such a dumb ...Kwa hyo wew Kwa akili zako unajua mall ni super market tu ......nenda kujifunze maana ya mall ndo uje tujadili hapa
Hakuna jipya ,wewe kwako unajua mall ni nini? Super Market unaweza pata dispensary au Bar nk?
 
Kwani Kuna ulazima wa kuwa na hivyo vi Mall vyenu? Naona mnashoboka sana what is so special?
Ni lazima...hizo fremu mnazojenga kwa Kasi huko mbeya sijui kusini...inabidi watu wanunue office ndani ya mall moja...hii inarahisisha kupata huduma na kuongeza ufanisi wa biashara
 
Kuna tofauti kati ya mall na supermarkets
 
Palm village? Dar city Mall unanionaje,Kibo complex je? Au hujazunguka unataja taja tu
 
Palm village? Dar city Mall unanionaje,Kibo complex je? Au hujazunguka unataja taja tu
Mkuu tembea miji ya watu mzee nenda Nairobi two rivers, Westgate etc..nenda Kampala nenda hata Zambia utakuja kunisapport kuwa Malls za Tanzania ziko underutilized na haziko busy....
 
Mkuu tembea miji ya watu mzee nenda Nairobi two rivers, Westgate etc..nenda Kampala nenda hata Zambia utakuja kunisapport kuwa Malls za Tanzania ziko underutilized na haziko busy....
Haziko buzy kwavile Bado watu hawana ufahamu,na pia wabongo Bado atujazoea kupanga kwenye malls na supermarket tunangalia pontetial location frame za barabarani
 
Cc@Mikdde Kitombile and other haters
Kipande Cha Barabara Cha Kigoma-Uvinza-Kasulu Hadi Mutukula kikimalizika yatapita Mabasi mengi sana ya kutokea Kampala,Kigali,Goma, Bujumbura nk kueleke Lusaka na South Africa.
 
Cc@Mikdde Kitombile and other haters
Kipande Cha Barabara Cha Kigoma-Uvinza-Kasulu Hadi Mutukula kikimalizika yatapita Mabasi mengi sana ya kutokea Kampala,Kigali,Goma, Bujumbura nk kueleke Lusaka na South Africa.
Watu wajanja wa kampala wakafate nini huko madongo kuinama, yaani wajanja wa kampala waende kigoma na huko kusini kuna vitu gani waache route ya Mwanza mpka Dar kwa wajanja wenzao na kufuata fursa labda kama wanaenda kufuata waganga wa kienyeji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…