Kwani hao maliasili hawakuona, kila kitu mnatupia mizigo serikali, hata vyoo vyenu vikijaa mtasema serikali haijazibua vyoo.
Angalia hapa watu wanaochangishana pesa kujenga barabara ni huku, Mwanza👇👇
Kwani hao maliasili hawakuona, kila kitu mnatupia mizigo serikali, hata vyoo vyenu vikijaa mtasema serikali haijazibua vyoo.
Angalia hapa watu wanaochangishana pesa kujenga barabara ni huku, Mwanza👇👇 View attachment 2629958