Kahama VS Njombe/Mafinga

Huwezi amini eti huu ndio Mji wenye wakazi zaidi ya Laki 4,Mafinga ni pazuri 😁😁
Geita
 
Inaanza Mbeya

Harafu wengine ndio mnakuwa wa mwisho mwisho huko 🤪🤪
 
Hakuna shule yenye usafiri bora Tanzania kama hii kaizirege and kemebos Bukoba
 
Hii haiwez husisha dar na mwz maana ni majiji makubwa na Yako smart but Ina deal mi majiji madogo kama Arusha,dodoma tena Kwa mbeya wangeongeza bajeti mbeya Ina Hali mbaya sana,, sewage system, at magar ya taka hayapit kuchukua taka zinanuka,,mpangilio hovyo usipokuw makin unakosa pakutokea ,Barabara ya kwenda stand ni nyembamba balaa magar mawili hayapishani pia njia imejaa mashimo,, hapa Kwa mama John ni pabaya sjui upanuz wa Barabara watafanyaje yaaan 😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…