Kahama VS Njombe/Mafinga

Wew ni mpuuzi....hyo ni ya mbeya naona umeishiwa baada ya sauli kupata hasara huko [emoji28][emoji28][emoji28]
Inapitia Mwanza Wala haipiti Mbeya na Huwa inakataa Abiria wa Mbeya Dar 😁😁😁😁😁
 
Na hakika hata wewe unajua kwamba huu ni uongo, yaani utakuwa taahira kama unaweza furahia Barabara imejaa viraka na mashimo kuanzia mlandizi,Dom Hadi Mwanza ukaacha lami tamu kama ya Ulaya ya kuja Highlands
Angalia poll achana na Mimi[emoji867]
 
Bilioni 441 simiyu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]..
wapi songwe [emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…