We Jamaa ni kabishi sana,umesoma Bango la hiyo shabiby?
Kwa taarifa Yako Sasa Shabiby atakuwa anatoa gari mbili kwenda Mbeya na kurudi Dom saa 12 na Saa 1 zote VIP.
Pili anaanza route ya Mbeya-Dar VIP Class kama kawaida.
Shabiby ni VIP Class Toka kitambo sana Kwa route ya Mbeya,yeye na Kimbinyiko.