Sina muda huo!Acha porojo wewe kama huna bando usifungue video..
Sweet Mbeya City
Wivu 🤪😝🤪😜 hiyo ni sehemu ndogo sana ya Jiji la Mbeya..Sina muda huo!
Mtu mfupi hivi hii mada yako ni Kusini vs Lake zone au ni Kahama vs Njombe vs Mafinga?
Mbona pachafu hvyo .Wivuhiyo ni sehemu ndogo sana ya Jiji la Mbeya..
Uchafu uko wapi? Kwanza una hela ya bando wewe?Mbona pachafu hvyo .
Hii mbeya iliyojengwa kwa tofali za kuchoma?Wivu 🤪😝🤪😜 hiyo ni sehemu ndogo sana ya Jiji la Mbeya..
Majiji yanapaswa kuwa hvWivuhiyo ni sehemu ndogo sana ya Jiji la Mbeya..
Una maneno mengi ya kujifariji Hadi huruma 😁😁Hii mbeya iliyojengwa kwa tofali za kuchoma?
Yani nyumba za mbeya mjini 80% ni tofali za kuchoma na maghorofa ni machache sanaaa na excuse yenu eti ardhi sio rafiki.
Mwanza hakuna nyumba ya tofali za kuchoma unajua tafsiri ya hii kitu?
Mwanza kuna ghorofa nyingi, Mwanza kuna barabara kali kila kona hadi milimani, Mwanza kuna terminals mbili za abiria wa ma bus za kisasa hakuna mahali Tanzania kuna stand mbili za ma bus ya upcountry zaidi ya Mwanza.
Mwanza kuna masoko ya kisasa, Mwanza kuna hela, Mwanza kuna idadi kubwa ya magari, Mwanza kuna hotel nyingi na zenye hadhi kuliko mikoa yote ya kusini combined
Nyuma ya hii picha Kuna mabanda ya nguruwe 😀😀😀 ,nayaona kile backgroundMajiji yanapaswa kuwa hvView attachment 2577005View attachment 2577007
Umeona eeh halafu kamejaa tetenasiKa mji kamejengwa na tofali za kuchoma tu kama mbeya 😛
WivuNyuma ya hii picha Kuna mabanda ya nguruwe,nayaona kile background
Leta za Mwanza mbaya tuone.Una maneno mengi ya kujifariji Hadi huruma 😁😁
Leo nakutandika na video za Mbeya Hadi ujiharishie 🤣🤣
Sasa hapo umeona kutu kama miji ya kwenu uliopost?🤣🤣🤣🤣 Hii takataka hapa unaweza linganisha na wapi huku kwetu? Walau Bukoba ndio inajitahidi kidogo
Ilemela ni Zaid ya mbeyaLeta za Mwanza mbaya tuone.
Wilaya ya Ilemela pekee inatosha kushindana na mikoa yote ya kusini
Hii ni kirumba mwaloni lakin ni Zaid ya mbeyaHii mbeya iliyojengwa kwa tofali za kuchoma?
Yani nyumba za mbeya mjini 80% ni tofali za kuchoma na maghorofa ni machache sanaaa na excuse yenu eti ardhi sio rafiki.
Mwanza hakuna nyumba ya tofali za kuchoma unajua tafsiri ya hii kitu?
Mwanza kuna ghorofa nyingi, Mwanza kuna barabara kali kila kona hadi milimani, Mwanza kuna terminals mbili za abiria wa ma bus za kisasa hakuna mahali Tanzania kuna stand mbili za ma bus ya upcountry zaidi ya Mwanza.
Mwanza kuna masoko ya kisasa, Mwanza kuna hela, Mwanza kuna idadi kubwa ya magari, Mwanza kuna hotel nyingi na zenye hadhi kuliko mikoa yote ya kusini combined
🤪🤪🤪Leta za Mwanza mbaya tuone.
Wilaya ya Ilemela pekee inatosha kushindana na mikoa yote ya kusini
Bora huko Kuna hata mitaa ,huku Sasa sijui mnafikaje
Ila ushawahi sikia jiwe limeangukia nyumba?
Huon hapo wamekwambia slum tourism....hiki ni kivutio Moja safi ,,huku ukitizama mandhari murua ya ziwa VictoriaBora huko Kuna hata mitaa ,huku Sasa sijui mnafikaje View attachment 2577017View attachment 2577018
Kuna Barabara Bora sana