Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Usiongee kama hujabalehe au wew sio mwanaume wenzio wanashindana kwa fursa zilizpo kwenye miji wew unaleta hbr za nyumba dah yan hata kubishana na wew ni kupoteza muda
Fursa Gani ziko huko kupita Kanda ya ziwa? Ewe pimbi

Cheki wenzako wanavolalama

mawardat
mawardat
JF-Expert Member
March 11.2023
Add bookmark
#70
Watu wa Dar na Mwanza bana,mnavyoina songea binafsi na mie ninavyoiona hii mikoa ilivyo haina maajabu

Dar. Kuchafu jiji linanuka kuna kila aina ya uchafu,

Mbeya ni kakijiji kalikochangamka kapo varangati,
 
Ili uweze kushindanisha lzma ufananishe kwa nyanja zote kuanzia kiuchumi na kijamii ndo utapata jibu ila kwakuwa kupost nyumba hapo cwez kushindana na wew unaonea huna akili na hujakuwa na hujui maana ya kulinganisha miji
Tufananishe kama unaweza maana kimajengo ya hadhi ad vijijini tuko mbele fursa za Biashara ndo usiseme, Bandari kavu ipo,tren ipo na nyingine inajengwa SGR,mbuga za wanyama ndo usiseme, kuhusu suala la mboga ndo mahala pake
 
Kusanyen mizengo yote mikali Kanda yenu ya kusini mje mshindanishe na kahama pekee niwatoe pumbu wajaa laana nyie
 
U
Sio kuambiwa mm njombe mwenyeji ila sana mbeya naijua nje ndani Jiji la bajaji ndo usafiri mkuu halafu ukijifanya kupenda maendeleo wanakuloga pia wanachuna ngozi but still ni masikin maana SONHEA haiwezi bato na MASWA
Unaijulia wap njombe mshamba ww
 
Mm nakupa mitaa ya kahama TU we let mitaa ya mikoa yote kusini
FB_IMG_16787178481163964.jpg
 
Back
Top Bottom