Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ili uweze kushindanisha lzma ufananishe kwa nyanja zote kuanzia kiuchumi na kijamii ndo utapata jibu ila kwakuwa kupost nyumba hapo cwez kushindana na wew unaonea huna akili na hujakuwa na hujui maana ya kulinganisha miji
 
Mawazo ya mwenzenu hyo alikuwa analalamika

Mtakoma pimbi huko mmelaaniwa nani ajenge kusini
Airfryer
Airfryer
JF-Expert Member
Sep 3, 2022
Add bookmark
#1
Nimefika mkoa wa Ruvuma hapa mjini Songea baada ya miaka 18 tangu mwaka 2004, sioni mambo mapya kabisa wala ukuaji wa mji.

Hapa mjini naona majengo ni yale yale tu zaidi majengo kidogo sana yameongezeka kama pale opposite na Bank ya NMB zamani tulisema ni eneo la TANESCO. Kitu gani kinazuia majengo marefu hapa Songea mjini?

Huu mji kwa maendeleo ya vitu naona ni negative growth hasa infrastructure, zaidi ya miaka 18 niliyoondoka huku no changes!

Boda boda zipo nyingi sana hapa mjini tofauti na wakati huo nilipoondoka, sijajua watu wanatembea kwa umakini kiasi gani maana boda boda na watu ni kama idadi sawa au ngoma droo hapa mjini.

Soko la majengo kule zamani tuliita mitumbani hakuna mabadiliko makubwa sana zaidi ya bara bara za hapa na pale lakini wakati huo kulikuwa na lami yenye mashimo mashimo.

Mjini hakuna barabara za maana zaidi ya barabara itokayo bombambili mpaka Mbinga huko. Mji haujapanuka kabisa, Unatembea nusu saa tu umemaliza, hakuna sehemu za kuvutia na sehemu za mitoko zaidi ya bar.

Songea ukisema leo natoka ni kwenda bar, hakuna amsha amsha niliyoiona hapa Songea mjini.

Wazoefu wa miji, huu mji una tatizo gani?

Nilipita Njombe imebadilika sana sana tofauti na Njombe ile ya miaka 18 iliyopita. Hii ni Songea mjini lakini ni kama upo kwenye wilaya za ndani ndani huko za baadhi ya mikoa.

Soko la hapa Songea Mjini hata silielewi vizuri ni kasoko kadogo sana na kamejibana sana, kwanini wasiliamishe soko hilo?!

Kulikuwa na kampeni za kujenga masoko na stand wakati wa JPM, sijajua kwanini waliamua kuacha soko la mtindo huu.

Kuna stand mpya lakini haivutii kabisa kabisa zaidi ya kuweka lami, hakuna jengo kubwa la maana la abiria kwenye stand mpya.

Wamejenga stand mpya mbele ya msamala ukitokea mjini lakini bado wamefeli vibaya sana ni kama kituo cha daladala hivi.

Bar zipo zipo sana labda ndio sehemu ya starehe lakini hazina quality inayotakiwa kwa watu wala bata na matanuzi.

Mikoa hii ya kusini kuna tatizo kama hata stand mikoa walipata nao pesa za mgao wamejenga stand nzuri na za kisasa sana.

Kwa hiyo Songea hata ukapeleka mabilioni ya pesa za Serikali bado huu mji unalala usingizi tu, Kwa miaka 18 niliyotoka nimesikitika sana.

Jumatatu naelekea Lindi, nipo mapumzikoni hivyo natembea tembea kwenye hii mikoa nilianzia safari Dodoma.
Thanks Quote ReplyReport
Thanks Reactions:Yakunle, Chichi09, MzalendoHalisi and 16 others
 
Mawazo ya mwenzenu hyo alikuwa analalamika

Mtakoma pimbi huko mmelaaniwa nani ajenge kusini
Airfryer
Airfryer
JF-Expert Member
Sep 3, 2022
Add bookmark
#1
Nimefika mkoa wa Ruvuma hapa mjini Songea baada ya miaka 18 tangu mwaka 2004, sioni mambo mapya kabisa wala ukuaji wa mji.

Hapa mjini naona majengo ni yale yale tu zaidi majengo kidogo sana yameongezeka kama pale opposite na Bank ya NMB zamani tulisema ni eneo la TANESCO. Kitu gani kinazuia majengo marefu hapa Songea mjini?

Huu mji kwa maendeleo ya vitu naona ni negative growth hasa infrastructure, zaidi ya miaka 18 niliyoondoka huku no changes!

Boda boda zipo nyingi sana hapa mjini tofauti na wakati huo nilipoondoka, sijajua watu wanatembea kwa umakini kiasi gani maana boda boda na watu ni kama idadi sawa au ngoma droo hapa mjini.

Soko la majengo kule zamani tuliita mitumbani hakuna mabadiliko makubwa sana zaidi ya bara bara za hapa na pale lakini wakati huo kulikuwa na lami yenye mashimo mashimo.

Mjini hakuna barabara za maana zaidi ya barabara itokayo bombambili mpaka Mbinga huko. Mji haujapanuka kabisa, Unatembea nusu saa tu umemaliza, hakuna sehemu za kuvutia na sehemu za mitoko zaidi ya bar.

Songea ukisema leo natoka ni kwenda bar, hakuna amsha amsha niliyoiona hapa Songea mjini.

Wazoefu wa miji, huu mji una tatizo gani?

Nilipita Njombe imebadilika sana sana tofauti na Njombe ile ya miaka 18 iliyopita. Hii ni Songea mjini lakini ni kama upo kwenye wilaya za ndani ndani huko za baadhi ya mikoa.

Soko la hapa Songea Mjini hata silielewi vizuri ni kasoko kadogo sana na kamejibana sana, kwanini wasiliamishe soko hilo?!

Kulikuwa na kampeni za kujenga masoko na stand wakati wa JPM, sijajua kwanini waliamua kuacha soko la mtindo huu.

Kuna stand mpya lakini haivutii kabisa kabisa zaidi ya kuweka lami, hakuna jengo kubwa la maana la abiria kwenye stand mpya.

Wamejenga stand mpya mbele ya msamala ukitokea mjini lakini bado wamefeli vibaya sana ni kama kituo cha daladala hivi.

Bar zipo zipo sana labda ndio sehemu ya starehe lakini hazina quality inayotakiwa kwa watu wala bata na matanuzi.

Mikoa hii ya kusini kuna tatizo kama hata stand mikoa walipata nao pesa za mgao wamejenga stand nzuri na za kisasa sana.

Kwa hiyo Songea hata ukapeleka mabilioni ya pesa za Serikali bado huu mji unalala usingizi tu, Kwa miaka 18 niliyotoka nimesikitika sana.

Jumatatu naelekea Lindi, nipo mapumzikoni hivyo natembea tembea kwenye hii mikoa nilianzia safari Dodoma.
Thanks Quote ReplyReport
Thanks Reactions:Yakunle, Chichi09, MzalendoHalisi and 16 others
Za kuambiwa changanya na zako huo ni mtazamo wake na usipende kuamn cha kuambiwa jiongeze mtoto wa kiume
 
Endelea kupost nyumba za watu maana ndo akili yako ilipoishia
Nawaonyesha uzuri wa ordinary city of kahama pimbi nyie
IMG_20230312_181726_860.jpg
IMG_20230313_080255_968.jpg
Screenshot_20230312-011016~2.jpg
 
Basi Kahama imeshinda,🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu akusaidie Sanaa maana inaonekana hata elimu kwako ni tatzo ndo maana huelew
 
Za kuambiwa changanya na zako huo ni mtazamo wake na usipende kuamn cha kuambiwa jiongeze mtoto wa kiume
Sio kuambiwa mm njombe mwenyeji ila sana mbeya naijua nje ndani Jiji la bajaji ndo usafiri mkuu halafu ukijifanya kupenda maendeleo wanakuloga pia wanachuna ngozi but still ni masikin maana SONHEA haiwezi bato na MASWA
 
Njoon muone uzuri wa Jiji la kahama pimbi wa kusini unazan kuwa na hospitali nyingi ndogo ndogo ndo kuendelea hujui morogoro Ina hospital nyingi kulko majiji yote na mkoa wowote isipokuwa dar lakin bado zero
 
Sio kuambiwa mm njombe mwenyeji ila sana mbeya naijua nje ndani Jiji la bajaji ndo usafiri mkuu halafu ukijifanya kupenda maendeleo wanakuloga pia wanachuna ngozi but still ni masikin maana SONHEA haiwezi bato na MASWA
Maswa ni manispaa au mji
 
C
Maswa ni manispaa au mji
Cheki wenzenu kilo hukoMad Max
Mad Ma
JF-Expert Membe
Sep 3, 202
Add bookmar
#
Airfryer said
Nimefika mkoa wa Ruvuma hapa mjini Songea baada ya miaka 18 tangu mwaka 2004,Sioni mambo mapya kabisa wala Ukuaji wa mj

Hapa mjini naona majengo ni yale yale tu zaidi majengo kidogo sana yameongezeka kama pale opposite na Bank ya NMB zamani tulisema ni eneo la Tanes

Kitu gani kinazuia majengo marefu hapa Songea mjin

Huu mji kwa Maendeleo ya vitu naona ni negative growth hasa infrastructure, Zaidi ya miaka 18 niliondoka huku no chang

Boda boda zipo nyingi sana hapa mjini tofauti na wakati huo nilipoondoka, Sijajua watu wanatembea kwa umakini kiasi gani maana boda boda na watu ni kama idadi sawa au ngoma ndroo hapa mji

Soko la majengo kule zamani tuliita mitumbani hakuna mabadiliko makubwa sana zaidi ya bara bara za hapa na pale lakini wakati huo kulikuwa na lami yenye mashimo mashi

Mjini hakuna barabara za maana zaidi ya barabara itokayo bombambili mpaka Mbinga hu

Mji haujapanuka kabisa, Unatembea nusu saa tu umemaliza, Hakuna sehemu za kuvutia na sehemu za mitoko zaidi ya B

Songea ukisema Leo natoka ni kwenda Bar, Hakuna amsha amsha niliyoiona hapa Songea mji

Wazoefu wa miji, Huu mji una tatizo gan

Nilipita Njombe imebadilika sana sana tofauti na Njombe ile ya miaka 18 iliyopi

Hii ni Songea mjini lakini ni kama upo kwenye wilaya za ndani ndani huko za baadhi ya mik

Soko la hapa Songea mjini hata silielewi vizuri ni kasoko kadogo sana sana na kamejibana sana sana, Kwanini wasiliamishe soko hi

Kulikuwa na kampeni za kujenga masoko na stand wakati wa JPM, Sijajua kwanini waliamua kuacha soko la Mtindo h

Kuna Stand mpya lakini haivutii kabisa kabisa zaidi ya kuweka lami, Hakuna jengo kubwa la maana la abiria kwenye stand mp

Wamejenga stand mpya mbele ya msamala ukitokea mjini lakini bado wamefeli vibaya sana ni kama kituo cha dala dala hi

Bar zipo zipo sana labda ndio sehemu ya starehe lakini hazina quality inayotakiwa kwa watu wala bata na matanu

Mikoa hii ya kusini kuna tatizo kama hata stand mikoa walipata nao pesa za mgao Wamejenga stand nzuri na za kisasa sa

Kwa hiyo Songea hata ukapeleka mabilioni ya pesa za Serikali bado huu mji unalala usingizi tu, Kwa miaka 18 niliyotoka nimesikitika sana sa

Jumatatu naelekea Lindi Nipo mapumzikoni hivyo natembea tembea kwenye hii mikoa nilianzia safari Dodo


Mods badilini Title ni haibadil
Click to expand...Unaenda Lindi? Bora ughairi

Mi ndio nipo hapa same kama wewe nimekuja kuzurura. Aisee. Nilikua nimejiandaa kwamba Lindi pakiwaki ila nimekuta pakiwaki zaidi tena na ten

Nilipanga nikae 2 days niende N'twara sahivi nipo kwenye gari nasepa. Ngoja nikaone iyo Mtwara na Masas

Tukirudi kwenye mada: Songea tatizo ipo mbali na kila mkoa aisee. Imejitenga kinoma. Imagine Songea to Njombei.a..ikimananaziviyauulooatai?niarkomoniesi?coi:4k2rx
 
C

Cheki wenzenu kilo hukoMad Max
Mad Ma
JF-Expert Membe
Sep 3, 202
Add bookmar
#
Airfryer said
Nimefika mkoa wa Ruvuma hapa mjini Songea baada ya miaka 18 tangu mwaka 2004,Sioni mambo mapya kabisa wala Ukuaji wa mj

Hapa mjini naona majengo ni yale yale tu zaidi majengo kidogo sana yameongezeka kama pale opposite na Bank ya NMB zamani tulisema ni eneo la Tanes

Kitu gani kinazuia majengo marefu hapa Songea mjin

Huu mji kwa Maendeleo ya vitu naona ni negative growth hasa infrastructure, Zaidi ya miaka 18 niliondoka huku no chang

Boda boda zipo nyingi sana hapa mjini tofauti na wakati huo nilipoondoka, Sijajua watu wanatembea kwa umakini kiasi gani maana boda boda na watu ni kama idadi sawa au ngoma ndroo hapa mji

Soko la majengo kule zamani tuliita mitumbani hakuna mabadiliko makubwa sana zaidi ya bara bara za hapa na pale lakini wakati huo kulikuwa na lami yenye mashimo mashi

Mjini hakuna barabara za maana zaidi ya barabara itokayo bombambili mpaka Mbinga hu

Mji haujapanuka kabisa, Unatembea nusu saa tu umemaliza, Hakuna sehemu za kuvutia na sehemu za mitoko zaidi ya B

Songea ukisema Leo natoka ni kwenda Bar, Hakuna amsha amsha niliyoiona hapa Songea mji

Wazoefu wa miji, Huu mji una tatizo gan

Nilipita Njombe imebadilika sana sana tofauti na Njombe ile ya miaka 18 iliyopi

Hii ni Songea mjini lakini ni kama upo kwenye wilaya za ndani ndani huko za baadhi ya mik

Soko la hapa Songea mjini hata silielewi vizuri ni kasoko kadogo sana sana na kamejibana sana sana, Kwanini wasiliamishe soko hi

Kulikuwa na kampeni za kujenga masoko na stand wakati wa JPM, Sijajua kwanini waliamua kuacha soko la Mtindo h

Kuna Stand mpya lakini haivutii kabisa kabisa zaidi ya kuweka lami, Hakuna jengo kubwa la maana la abiria kwenye stand mp

Wamejenga stand mpya mbele ya msamala ukitokea mjini lakini bado wamefeli vibaya sana ni kama kituo cha dala dala hi

Bar zipo zipo sana labda ndio sehemu ya starehe lakini hazina quality inayotakiwa kwa watu wala bata na matanu

Mikoa hii ya kusini kuna tatizo kama hata stand mikoa walipata nao pesa za mgao Wamejenga stand nzuri na za kisasa sa

Kwa hiyo Songea hata ukapeleka mabilioni ya pesa za Serikali bado huu mji unalala usingizi tu, Kwa miaka 18 niliyotoka nimesikitika sana sa

Jumatatu naelekea Lindi Nipo mapumzikoni hivyo natembea tembea kwenye hii mikoa nilianzia safari Dodo


Mods badilini Title ni haibadil
Click to expand...Unaenda Lindi? Bora ughairi

Mi ndio nipo hapa same kama wewe nimekuja kuzurura. Aisee. Nilikua nimejiandaa kwamba Lindi pakiwaki ila nimekuta pakiwaki zaidi tena na ten

Nilipanga nikae 2 days niende N'twara sahivi nipo kwenye gari nasepa. Ngoja nikaone iyo Mtwara na Masas

Tukirudi kwenye mada: Songea tatizo ipo mbali na kila mkoa aisee. Imejitenga kinoma. Imagine Songea to Njombei.a..ikimananaziviyauulooatai?niarkomoniesi?coi:4k2rx
Huna kingne cha kupost lbda hii tumeichoka
 
Mbona mnalia cheki pimbi mwenzenu huyu analia tena

Airfryer
Airfryer
JF-Expert Member
Sep 3, 2022
Add bookmark
#1
Nimefika mkoa wa Ruvuma hapa mjini Songea baada ya miaka 18 tangu mwaka 2004, sioni mambo mapya kabisa wala ukuaji wa mji.

Hapa mjini naona majengo ni yale yale tu zaidi majengo kidogo sana yameongezeka kama pale opposite na Bank ya NMB zamani tulisema ni eneo la TANESCO. Kitu gani kinazuia majengo marefu hapa Songea mjini?

Huu mji kwa maendeleo ya vitu naona ni negative growth hasa infrastructure, zaidi ya miaka 18 niliyoondoka huku no changes!

Boda boda zipo nyingi sana hapa mjini tofauti na wakati huo nilipoondoka, sijajua watu wanatembea kwa umakini kiasi gani maana boda boda na watu ni kama idadi sawa au ngoma droo hapa mjini.

Soko la majengo kule zamani tuliita mitumbani hakuna mabadiliko makubwa sana zaidi ya bara bara za hapa na pale lakini wakati huo kulikuwa na lami yenye mashimo mashimo.

Mjini hakuna barabara za maana zaidi ya barabara itokayo bombambili mpaka Mbinga huko. Mji haujapanuka kabisa, Unatembea nusu saa tu umemaliza, hakuna sehemu za kuvutia na sehemu za mitoko zaidi ya bar.

Songea ukisema leo natoka ni kwenda bar, hakuna amsha amsha niliyoiona hapa Songea mjini.

Wazoefu wa miji, huu mji una tatizo gani?

Nilipita Njombe imebadilika sana sana tofauti na Njombe ile ya miaka 18 iliyopita. Hii ni Songea mjini lakini ni kama upo kwenye wilaya za ndani ndani huko za baadhi ya mikoa.

Soko la hapa Songea Mjini hata silielewi vizuri ni kasoko kadogo sana na kamejibana sana, kwanini wasiliamishe soko hilo?!

Kulikuwa na kampeni za kujenga masoko na stand wakati wa JPM, sijajua kwanini waliamua kuacha soko la mtindo huu.

Kuna stand mpya l
 
Cheki wenzako huko wanatia huruma

Kim jong liu
Kim jong liu
JF-Expert Member
Sep 3, 2022
Add bookmark
#12
Siyo Songea tu ni mkoa mzima wa RUVUMA.

Nimetembea Njombe, Kahama na miji mingine kadhaa ya kanda ya ziwa lakini hauwezi kufananisha na Songea.
Mkoa wa Ruvuma hasa mji wa Songea Kuna mambo hayapo sawa.
1. Wananchi wengi wa Ruvuma hawakupendi kwao. Mngoni au mmatengo akifanikiwa huko kurudi kwao ni ndoto na hukana kabisa kuwa yeye siyo wa Mbinga, Songea au Tunduru(UKWELI MCHUNGU). Hili suala udhoofisha uwekezaji wa wazawa wenye kipato kwenye shughuri za kilimo, uvuvi na misitu ambazo ndiyo shughuri KUU za uchumi.

2. Mkoa wa Ruvuma umechelewa sana kufunguliwa kimiundo mbinu hasa Ile ya usafirishaji, Ruvuma Ina deposit kubwa sana ya makaa ya mawe na Chuma, Lakini Bado ni ngumu sana utajiri huo kufika, kuvunwa na kupelekwa sokoni. Kabla ya miaka hamsini ya uhuru tulitegemea kungekuwepo na reli hata chakavu kutoka bandari ya Mbamba bay impaka bandari ya Mtwara. Hii ingeifanya Songea kuwa mji mkubwa sana kusini mwa Tanzania, kutokana na muingiliano wa watu na biashara.
 
Wanatia huruma wenzako huku

Cheki wanalalama
uhurumoja
uhurumoja
JF-Expert Member
Sep 3, 2022
Add bookmark
#14
Kifupi kama umetokea dar au Mwanza huko kwingine kote ni vijijini mwaka Jana nilienda Mbeya Dec nikiamni nitaenjoy aisee nilichoka anyway kitu pekee nilifurahia ni upishi mzuri sana wa kitimoto nje ya hapo hakuna kitu
 
Back
Top Bottom