C
Cheki wenzenu kilo hukoMad Max
Mad Ma
JF-Expert Membe
Sep 3, 202
Add bookmar
#
Airfryer said
Nimefika mkoa wa Ruvuma hapa mjini Songea baada ya miaka 18 tangu mwaka 2004,Sioni mambo mapya kabisa wala Ukuaji wa mj
Hapa mjini naona majengo ni yale yale tu zaidi majengo kidogo sana yameongezeka kama pale opposite na Bank ya NMB zamani tulisema ni eneo la Tanes
Kitu gani kinazuia majengo marefu hapa Songea mjin
Huu mji kwa Maendeleo ya vitu naona ni negative growth hasa infrastructure, Zaidi ya miaka 18 niliondoka huku no chang
Boda boda zipo nyingi sana hapa mjini tofauti na wakati huo nilipoondoka, Sijajua watu wanatembea kwa umakini kiasi gani maana boda boda na watu ni kama idadi sawa au ngoma ndroo hapa mji
Soko la majengo kule zamani tuliita mitumbani hakuna mabadiliko makubwa sana zaidi ya bara bara za hapa na pale lakini wakati huo kulikuwa na lami yenye mashimo mashi
Mjini hakuna barabara za maana zaidi ya barabara itokayo bombambili mpaka Mbinga hu
Mji haujapanuka kabisa, Unatembea nusu saa tu umemaliza, Hakuna sehemu za kuvutia na sehemu za mitoko zaidi ya B
Songea ukisema Leo natoka ni kwenda Bar, Hakuna amsha amsha niliyoiona hapa Songea mji
Wazoefu wa miji, Huu mji una tatizo gan
Nilipita Njombe imebadilika sana sana tofauti na Njombe ile ya miaka 18 iliyopi
Hii ni Songea mjini lakini ni kama upo kwenye wilaya za ndani ndani huko za baadhi ya mik
Soko la hapa Songea mjini hata silielewi vizuri ni kasoko kadogo sana sana na kamejibana sana sana, Kwanini wasiliamishe soko hi
Kulikuwa na kampeni za kujenga masoko na stand wakati wa JPM, Sijajua kwanini waliamua kuacha soko la Mtindo h
Kuna Stand mpya lakini haivutii kabisa kabisa zaidi ya kuweka lami, Hakuna jengo kubwa la maana la abiria kwenye stand mp
Wamejenga stand mpya mbele ya msamala ukitokea mjini lakini bado wamefeli vibaya sana ni kama kituo cha dala dala hi
Bar zipo zipo sana labda ndio sehemu ya starehe lakini hazina quality inayotakiwa kwa watu wala bata na matanu
Mikoa hii ya kusini kuna tatizo kama hata stand mikoa walipata nao pesa za mgao Wamejenga stand nzuri na za kisasa sa
Kwa hiyo Songea hata ukapeleka mabilioni ya pesa za Serikali bado huu mji unalala usingizi tu, Kwa miaka 18 niliyotoka nimesikitika sana sa
Jumatatu naelekea Lindi Nipo mapumzikoni hivyo natembea tembea kwenye hii mikoa nilianzia safari Dodo
Mods badilini Title ni haibadil
Click to expand...Unaenda Lindi? Bora ughairi
Mi ndio nipo hapa same kama wewe nimekuja kuzurura. Aisee. Nilikua nimejiandaa kwamba Lindi pakiwaki ila nimekuta pakiwaki zaidi tena na ten
Nilipanga nikae 2 days niende N'twara sahivi nipo kwenye gari nasepa. Ngoja nikaone iyo Mtwara na Masas
Tukirudi kwenye mada: Songea tatizo ipo mbali na kila mkoa aisee. Imejitenga kinoma. Imagine Songea to Njombei.a..ikimananaziviyauulooatai?niarkomoniesi?coi:4k2rx