Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Acha kujifariji hii Barabara ya njombe ndo iliyo jengwa kwa kiwango tz nzima na Ina km za kutosha unaanza kutuletea za mitaan hapa
Ndo mliambiwa hivo ndo maana mnajengewa uduvi halafu mnashangilia hivi unaijua Barabara ya Toka geita kwenda bukoba na biharamulo au unapumua TU hovyo pimbi ewe
 
Nini hapo hapo

Ushasikia ata serikali inatangaza sana KITULO ambayo imejaa vichaka na ndege jitahid kufikiri Kwa kina mbwa nyie
Serikali inajua Kuna pesa kiasi gan zinaingia pale ndo maana imepelekea mkeka wa maana
P12.jpg
Zebra+4.JPG
sddefault(0).jpg
FB_IMG_16771651573376498.jpg
 
Hah [QUOTE="Nick joseph, post: 45627591, member: 697555"] Hayo ni mabanda at mama anajua lake zone au kaskazin hawez peleka mradi kujenga mabanda ambayo huku tnafugia mbuzi na nguruwe , but huko mnashangilia kupost uchafu [/QUOTE] Hahaha na Sasa tunatekeleza mradi wa regrow Kanda ya ziwa endeleeni kuchunga ngombe na kuishi kwenye mashimo kama fuko
 
Vumbi imebaki Kanda ya ziwa mzee huku ni mikeka Kila kona
Ungejua lake zone hakuna vumbi ni vile ufup TU ndo shida kufikir hjui maaana huku ad miji kama katoro sio wilaya ila mitaa lami, nenda bwana kama unapajua utaelewa mkeka
 
Mnajenga mabanda hayo yaan kusini nzima hospital angalau ya maana ni Ile ya Kanda ambayo ipo mtwara bas lakin sio unapost wod ya mama na mtoto 😂
Hata mgawanyo wa Kanda wa nchi Yako hujui jiografia ulifeli mzee hizi ligi huziwez
gr1.jpg
 
Umeona ushamba wenu ko ndo unashangaa vimiji vidogo kuwekewa lami basi kwa mkoa wa njombe ndo utabaki mdomo waz maana zimefungwa hadi street light
Ungejua lake zone hakuna vumbi ni vile ufup TU ndo shida kufikir hjui maaana huku ad miji kama katoro sio wilaya ila mitaa lami, nenda bwana kama unapajua utaelewa mkeka
BA
 
Back
Top Bottom