ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,386
- 85,217
- Thread starter
-
- #13,441
Tunduma inazidi Kahama vitu vingi sana ikiwemo Mapato ambayo ndio issue y muhimu sana..kwani tunduma inaizidi nini kahama we nguruwe kweli yaani wilaya ulinganshe na manispaa...Yaan kitendo tu cha kuwa manispaa hilo ni jibu tosha msijilinganishe na sisi ..Sisi tulinganisheni na manispaa sio miji
Tunduma Inajenga shule za magorofa 7 kwa.mapato ya ndani.
Tunduma ina Vituo vya Afya 7
Tunduma Ina Jenga masoko 2 ya Machinga na soko la samaki Kwa mapato ya ndani zaidi ya Bil.3,achilia mbali masoko madogo Yako 4 Mali ya Halmashauri.
Tunduma Ina stand yake iliyojengwa Kwa mapato ya ndani Kahama Haina inaogelea kwenye mavumbi,
Tunduma Ina hospital kubwa yenye hadhi ya Makao Makuu ya Mkoa.
Tunduma Inajenga Ofisi za Halmashauri Kwa mapato ya ndani.
Tunduma Ina parking yard kubwa ya malori Kahma hamna.
Tunduma Ina magorofa mengi kuliko Kahama ,
Tunduma inamiliki shule za English medium Kahama hazipo,
Tunduma inazidi Kahama wingi wa magari n hivyo kuwa na Vituo vya mafuta vingi kabisa tena vyenye hadhi,Kahama hakuna..
Tunduma Ina Hotel za hadhi ya nyota 3 kama Tunduma hotel na Ujinga Hill Kahama hakuna .
Kiufupi nyie manyumbu mnafurahia jina la Manispaa isiyo na vigezo ila kwenye ground hakuna kitu.