Kahama VS Njombe/Mafinga

kwani tunduma inaizidi nini kahama we nguruwe kweli yaani wilaya ulinganshe na manispaa...Yaan kitendo tu cha kuwa manispaa hilo ni jibu tosha msijilinganishe na sisi ..Sisi tulinganisheni na manispaa sio miji
Tunduma inazidi Kahama vitu vingi sana ikiwemo Mapato ambayo ndio issue y muhimu sana..

Tunduma Inajenga shule za magorofa 7 kwa.mapato ya ndani.

Tunduma ina Vituo vya Afya 7

Tunduma Ina Jenga masoko 2 ya Machinga na soko la samaki Kwa mapato ya ndani zaidi ya Bil.3,achilia mbali masoko madogo Yako 4 Mali ya Halmashauri.

Tunduma Ina stand yake iliyojengwa Kwa mapato ya ndani Kahama Haina inaogelea kwenye mavumbi,

Tunduma Ina hospital kubwa yenye hadhi ya Makao Makuu ya Mkoa.

Tunduma Inajenga Ofisi za Halmashauri Kwa mapato ya ndani.

Tunduma Ina parking yard kubwa ya malori Kahma hamna.

Tunduma Ina magorofa mengi kuliko Kahama ,

Tunduma inamiliki shule za English medium Kahama hazipo,

Tunduma inazidi Kahama wingi wa magari n hivyo kuwa na Vituo vya mafuta vingi kabisa tena vyenye hadhi,Kahama hakuna..

Tunduma Ina Hotel za hadhi ya nyota 3 kama Tunduma hotel na Ujinga Hill Kahama hakuna .

Kiufupi nyie manyumbu mnafurahia jina la Manispaa isiyo na vigezo ila kwenye ground hakuna kitu.
 
Siku mkipata Barabara kama hizi mje tuongee
Your browser is not able to display this video.
 
We ni mende kweli kwanini kahama ni manispaa ...Tunduma ni mji pamoja na yote hayo ulotaja..Au ipi ipo juu kati ya manispaa na mjii..Au kipi kinasababisha kuwa manispaa nyingine mji??
 
Mwenye wivu jinyonge..Kwanini usipewe wew hyo hadhi kama unaizid KAHAMA
 
We ni mende kweli kwanini kahama ni manispaa ...Tunduma ni mji pamoja na yote hayo ulotaja..Au ipi ipo juu kati ya manispaa na mjii..Au kipi kinasababisha kuwa manispaa nyingine mji??
Muulize Jiwe huko Chato atakujibu..

By the way hata Lindi ni Manispaa pia🤣🤣
 
Mwenye wivu jinyonge..Kwanini usipewe wew hyo hadhi kama unaizid KAHAMA
Wivu wa nini? Kwani ukiitwa Manispaa ndio utatuzidi Miradi? Hivyo vyote nimetaja hapo Juu mnazidiwa Sasa Manispaa inawasaidia nini?

Hata Lindi ni Manispaa ila hakuna kitu inazidi Njombe,ndio sawa na Kahama..

Mtapelekewa moto Hadi akili ziwakae sawa
 
Ndo nyie nmewapat pimbi wenye visogo karibu na mikundu yenu, vichwa maji mnamawazo mgando ukiongelea shule za private nyingi ni kahama kama don Bosco,nk
Mimi sio punguani kama.wew ukileta hoja ya kipumbavu Wala sihangaiki kukujibu ,nakuacha na upunguani wako ,Kuna watu walilipwa salary kuwapunguzia ujinga kama hamkuelewa mtajuana huko huko.
 
Mnauliza shule za private nyie pimbi nazan hizi znaongoza Tanzania nzima na zote zipo kahama

QUEEN FAMILY
DON BOSCO
UNDERLAKE
JOHN PAUL
 
Wivu wa nini? Kwani ukiitwa Manispaa ndio utatuzidi Miradi? Hivyo vyote nimetaja hapo Juu mnazidiwa Sasa Manispaa inawasaidia nini?

Hata Lindi ni Manispaa ila hakuna kitu inazidi Njombe,ndio sawa na Kahama..

Mtapelekewa moto Hadi akili ziwakae sawa
Kwani wakati tunapewa manispaa mlikuwa wapi si mngepewa nyie
 
Mimi sio punguani kama.wew ukileta hoja ya kipumbavu Wala sihangaiki kukujibu ,nakuacha na upunguani wako ,Kuna watu walilipwa salary kuwapunguzia ujinga kama hamkuelewa mtajuana huko huko.
Huna Cha kujibu maana huwez fikiri pimbi jike ewe tulia doz ikukae ad urefuke
 
Kuna kenge mmoja kasema wanajenga soko la samaki tunduma sjui watauza kamongo au kambale kutoka nyasa kweli ufupi hasara Kwa taifa haya tupe picha za hayo majengo ew pimbi jike wa kusini
 
Kenge kasema stand ya malori amesahau Mimi nmepost bonge la stand kahama tena stand ya malori yote afrika mashariki maana ni Bandari kavu pia Jiji la biashara
 
Tumewaambia leten orodha ya fursa zipatikanazo kusini lakin mnaruka ruka kenge wajawazito nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…