ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,246
- Thread starter
-
- #12,741
Kivipi Mzee hebu fafanua na uweke ya Singida hapa tuone.Nimeangalia finishing hiyo ya sumbawanga haina kingo stahiki za kuzuia lami isimomonyoke,, aliejenga lami singapore, kiwango chake ni cha kimataifa,
Wamekuleta sehem 90% ya gallery yako imebebaBado sana ,kajipange harafu urudi tena View attachment 2532562View attachment 2532563View attachment 2532564View attachment 2532565View attachment 2532566
Ila arusha waga wehu eti USA
Hio kali
Ila mshukurun magu kwa hio barabara washenz nyie
Imefanya mji wenu angalau
Ndo mjitahid sasa kuanzia usagara had town muweke double road sasa ikipendeza na upande ule wa kuelekea nyamhongolo
Tayar sisi tushaanza tengeru to usa na soon inakuja town to kisongo
Acha basi barabara ya 138 B ndo iwe na flyover au mnajenga 15kmMbeya wanajengewa na flyover kabisa pale mafiat hawa watu wa mwanza ndio watapata presha vile hawatakagi kuona mji mwingine ukiendelea
Kwamba hutaki au? Zinajengwa km 34 Sasa kwani flyover Ina gharama gani?Acha basi barabara ya 138 B ndo iwe na flyover au mnajenga 15km
Hiyo lami pichani inaweza kulika mapema pembeni,, ile ya singida imejengewa msingi wa simenti kuanzia hiyo doulble hadi zile zingine za mjini, ambapo watembeaji ndo hupita, haiwezi kumeguka maana pembeni walinwaga msingi wa simenti, siko singida ningekupigia picha,,
Nani hajui Njombe? wakati nimesoma Njombe Secondary- angalia comment nilikuwa najibu nini hapokwamba hujui kuwa kuna mji unaitwa njombe? pity
Mbona umecrop zile nyumba za uswazi hapo mbele ya huo mjengo?Kama ambavyo mkiona hii barabara na huo mjengo hapo arusha mnabaki kusonya tuView attachment 2532588
Kilometre 1 ya lami single lane ni 1B.Hapa tuko sawa au unachakuongeza.Kwamba hutaki au? Zinajengwa km 34 Sasa kwani flyover Ina gharama gani?
Flyover mojawapo Kati ya hizi hapa chini inawezekana na Wala Haina gharama zozote isipokuwa hiyo ya Dom unaondoa hiyo ngazi ya pili.View attachment 2532755View attachment 2532756View attachment 2532757
Haters jifalijiniLeta Barabara ya Mwanza
Acha kuota wew ,,mbeya na fly over wapi na wapi , aliyekuambia kuwa flyovers zinavusha maparachichi nani ..Kwamba hutaki au? Zinajengwa km 34 Sasa kwani flyover Ina gharama gani?
Flyover mojawapo Kati ya hizi hapa chini inawezekana na Wala Haina gharama zozote isipokuwa hiyo ya Dom unaondoa hiyo ngazi ya pili.View attachment 2532755View attachment 2532756View attachment 2532757
Vipi ,,,, nyamagana on fireKwamba hutaki au? Zinajengwa km 34 Sasa kwani flyover Ina gharama gani?
Flyover mojawapo Kati ya hizi hapa chini inawezekana na Wala Haina gharama zozote isipokuwa hiyo ya Dom unaondoa hiyo ngazi ya pili.View attachment 2532755View attachment 2532756View attachment 2532757
Km ngapi?Vipi ,,,, nyamagana on fire
Km 15 za lami tender on
View attachment 2532923
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga unakusumbuaAcha kuota wew ,,mbeya na fly over wapi na wapi , aliyekuambia kuwa flyovers zinavusha maparachichi nani ..
Tizama mitaa na barabara zenye mwonekano wa majiji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza hakuna magari kabisa mbona Barabara ziko tupu?Haters jifalijini
Hyo takataka yako ya Arusha,plus sumbawanga na inayojengwa mbeya haiwezi kuwa smart and busy kama hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua inauma Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi sema hii barabara Ni tupuMwanza hakuna magari kabisa mbona Barabara ziko tupu?
Kama hakuna magari ,,hayo mafuta na sheli zote zinahudumia pikipiki auMwanza hakuna magari kabisa mbona Barabara ziko tupu?
Wew siuliletewa statistics za matumiz ya petrol na diesel nchi. Uko kweny magar meng palitumia percent ngapi?Mwanza hakuna magari kabisa mbona Barabara ziko tupu?
Ndio jibu Hilo ,mabajaji ,bodaboda na maguta 😂😂Kama hakuna magari ,,hayo mafuta na sheli zote zinahudumia pikipiki auView attachment 2532981
Sent using Jamii Forums mobile app