Kahama VS Njombe/Mafinga

πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Thanks for updates..

Harafu wanataka kile kijinga Chao kama gulio wanaita Kahama eti ishindane na Njombe.

Kichuguu na mlima 😁😁
nyie inaonekana hamjafika KAHAMA (JIJi la 7) mnadhanii hako kamjombe ndo kakulingana na kahama manispaaa ..Njombe inatoshana labda na tinde ,kagongwa au kakola halafu hapo kwenye mwanza na mbeya acheni ujinga nyie wambeya yaani mwanza jiji la 4 east africa ulinganishe na huo uchafu kwanza kwa kigezo gani yaan mnatumia ushahidi upi nyie acheni kujitoa ufahamu ..Narudi tena kwenu njombe..Njombe ni mji kahama ni manispaa hadi hapo mkubwa ashajulikana ..We huonagi hata hawa wasanii wakubwa tz ushawahi muona anakuja njombe alale wapi kwenye vibanda au..Lakn kahama kila mara utasikia wasaf haoo sababu wanajua ni sehemu yenye kila kitu wajinga nyie
 
Humu sio kijiwe Cha porojo ni mwendo wa facts.

Weka picha hatutaki blaa blaa,wenzio wameshindwa kuthibitisha ukubwa wa Kahama Toka Uzi umeanza wewe unadandia mtumbwi wa kibwengo 🀣🀣
 
Ndio huo ushamba mlionao, mmeshindwa kutofautisha kati ya Lodge na hotel. Hapo hotel ni Mdope pekee zingine zana hadhi ya Lodge mnaita Hotel
Huna hoja zaidi ya kubwabwaja maujinga Yako.

Swax tandika hao pimbi na hizi street roads Kali
 

Njombe hiyo hebu hesabu ina ngapi alafu tafuta mkoa mzima wa shinyanga kama utaikuta naacha kuchangia uzi huu hesabu nyingine hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…