Kahama VS Njombe/Mafinga

Karibuni kwenye mada.

Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.

Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Hivi kwanini hii mada haifutwi? Sioni mwendelezo wake wala maana halisi, mada zenye mvuto zinafutwa mara tu, lakini hii ipo siku hadi siku
 
Makambako tc maeneo ya out nje ya mji


 

Attachments

  • FB_IMG_16720410736656070.jpg
    19.6 KB · Views: 12
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…