Wewe kwa akili yako fupi unadhani hiyo NIMRI haipo katika Medical Field Ukiondoa Dar tu hakuna Mkoa wowote unaoufikia Mwanza!! Gusa kote ila sio katika Medical Field!!!
Sumbawanga hiihiii ambayo Airport yake imegeuka Shamba!??
Huu mjadala naomba ubaki dhidi ya Kahama na Huko sijui Njombe ila Mbeya, Iringa, Sumbawanga na kimbilio lako kuu Dodoma zote hizo Hazifiki MWANZA ukiendelea kubisha kuna siku utajinye.a au kichwani ni Vacuum!!