Kwamba mwanza hamna NIMR ,,
Si unakuja mwanza tembelea isamilo utapata kituo chao...
Pia Kuna maabara na hospital maalumu ya utafiti ..fika kitangiri kama unaelekea bwiru ..
Ukiacha NIMR Kuna TAFIRI (wanasayansi na watafiti wa aqua culture)
Sent from my TECNO KG5j using
JamiiForums mobile app