Kahama VS Njombe/Mafinga

Very local,walio design hizi Barabara walisomea Kahama Vct au? 😆😆.

Hizo kerb stones Zina protect kitu gani wakati zinatakiwa kuwepo hapo kwenye mstari wa road marking Ili kuzuia driving kwenye shoulders ambazo zinatumiwa na watembea Kwa miguu,Sasa wao wameweka huko kwenye mtaro Ili iwaje?
 
Kawaambie tanroads,,sio Mimi ...by the way unatafuta exit door
 
Kali za huko mwaloni ziko wapi? Wewe inazionaje?
Exposure yako ndo imekufany uone hizo barabara ndo kali #ICAN'TBLAMEYOUMR


Kupost barabara za mwanza eti kisa umepost hizo njia za wapita kwa miguu ni kuikosea heshima mwanza

Zingatia uzi,nadhan waombe watu wa Kahama barabara kama izo labda mtalingan japo ni haiwezekan kulingan na Kahama even dhambi
 
Humu Huwa hatupanui Domo bila ushahidi wa picha,weka hapa barabara za huko mwaloni, hadithi zako hatuzihitaji hapa
 
Humu Huwa hatupanui Domo bila ushahidi wa picha,weka hapa barabara za huko mwaloni, hadithi zako hatuzihitaji hapa
Nshakwambia kuleta picha za barabara mwanza eti kisa umeleta huo upuuzi ni dharau kwa wanamwanza. Kiufupi mwanza ni mikoa yote ya nyanda za juu kusini


Waombe wanamwanza ruhusa kwamb unatak kuziona barabara za mwanza then wakikubali ntaleta picha hapa


Boy From Uswekeni umenielewa
 
Wewe ni mjinga na unaleta excuses za kindezi wakati we know kwamba huko Fishing zone hakuna hizo Barabara Kali ni upuuzi tuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…