The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Sio unisaidei hizo takwimu sio mpya na nilishawahi zianzishia uzi sema umelazimika tuu ku post kwa sababu huna namna.ππππ.
Kwa hyo unakubali iringa inawazidi mbali mbeyaSio unisaidei hizo takwimu sio mpya na nilishawahi zianzishia uzi sema umelazimika tuu ku post kwa sababu huna namna.
Acha kukurupuka,hujamuelewa huyo jamaa ,anazungumzia taa za kuongozea magari yaani traffic lights na sio taa za Barabara kwa maana ya street lights.Mbeya taa za barabaran zipo mafiati tu wakat mwanza sehemu zote za pembezoni kuna taa za barabaran kuanzia usagara,buhongwa,mkolani,nyegezi zipo 3,iseni, mkuyuni,kisesa,igoma,national,buzuruga,kona ya mwaloni,kona ya bwiru,kona ya sabasaba,buswelu πππππ
Inatuzudi kwa kipi Sasa? Hizo per capital income au?Kwa hyo unakubali iringa inawazidi mbali mbeya
Sawa vipi waliwahi kosa Huduma ipi kwa msingi wa kutokujua CBD iliko?Hata wenyeji wake hawaelewi ni wapi...wanaangalia lilipo soko na stendi ndo wanapaita mjini
Kwan yeye intelligent anasema street lights au anasema traffic lights... Kila eneo mwanza Kuna crossing lights,anzia Usagara Hadi mjini ...na traffic lights zipo nyakato, buzuruga,nela,Kona ya bwiru, pasiansi,nata , Nyerere road,na junction ya pamba na Nyerere...Acha kukurupuka,hujamuelewa huyo jamaa ,anazungumzia taa za kuongozea magari yaani traffic lights na sio taa za Barabara kwa maana ya street lights.
Hapo eweka kirefu Cha CBD ,maana yake Ni ipi?Cbd ni central business district, kama hizo mwenge sijui kijitonyama mara wapi ni districts basi zinastahili kuwa ata cbd 50 dar, je kwa mwanza tuseme nyegezi, kirumba, buzuruga na buhongwa ni cbd kwasababu pamechangamka kibiashara.
Huduma Gani unazozisema ..majiji yote duniani Yana financial district...new York Manhattan,London central London, mwanza nyamagana,dar ilala ,wew unasema jiji Gani la kisasaSawa vipi waliwahi kosa Huduma ipi kwa msingi wa kutokujua CBD iliko?
Huoni kwamba Mbeya imechukua direction ya Miji ya kisasa ambayo Huduma hazirundikani eneo moja mnaloita CBD?
Sidhani Kama Ni Mambo ya kujivunia Sana japo Yana umuhimu wake..Kwan yeye intelligent anasema street lights au anasema traffic lights... Kila eneo mwanza Kuna crossing lights,anzia Usagara Hadi mjini ...na traffic lights zipo nyakato, buzuruga,nela,Kona ya bwiru, pasiansi,nata , Nyerere road,na junction ya pamba na Nyerere...
Ndio mtizamo wa zamani huo wa kuwa na CBD.Nakuuliza wewe Sasa kwa kutokuwa na CBD wamekosa huduama ipi? Au hujui hata maana ya hiyo CBD?Huduma Gani unazozisema ..majiji yote duniani Yana financial district...new York Manhattan,London central London, mwanza nyamagana,dar ilala ,wew unasema jiji Gani la kisasa
Mji kukosa CBD maana yake uko disorganized na inappropriate.. majiji yenye organized plan ..Yana CBD , industrial park, settlement areas, city parks and recreation center...Ndio mtizamo wa zamani huo wa kuwa na CBD.Nakuuliza wewe Sasa kwa kutokuwa na CBD wamekosa huduama ipi? Au hujui hata maana ya hiyo CBD?
Kwa hiyo kutokuwa na cbd ndio disorganised au ? ππππ.Mji kukosa CBD maana yake uko disorganized na inappropriate.. majiji yenye organized plan ..Yana CBD , industrial park, settlement areas, city parks and recreation center...
Kwanini hao photographer unadhani hawana muda na kutafuta picha mbeya? Au huo mji haupendezi? Au hakuna mahali pakuwavutia? Au hakuna mtu anayeipenda? Au wanaona aibu kupiga picha mbeya yao wataumbuka? Au ni mji wa ovyo ndio maana watu hawana muda?Nyumba za kawaida zipi? Harafu hiyo picha ni ya zamani Sana Wala hapako hivyo Sasa hivi kwa taarifa yako..
Mbeya imekosa photographer wanaoipenda Mbeya ndio maana wanashindwa kufanya updates ya Mara kwa Mara,wenye drone Ni Kama hawapo maana ndio wangepiga picha nzuri hasa za Mbeya neibourhoods.
Ni hobby tuu,waliopo wako busy na masuala ya kitalii..Kwanini hao photographer unadhani hawana muda na kutafuta picha mbeya? Au huo mji haupendezi? Au hakuna mahali pakuwavutia? Au hakuna mtu anayeipenda? Au wanaona aibu kupiga picha mbeya yao wataumbuka? Au ni mji wa ovyo ndio maana watu hawana muda?
Hii ni ya mchongo mkuu kipindi hicho walikadiria mwanza ina watu milion 4.5 lakini sensa imesema 3.7 hiyo per capita kwa sasa itaifavor sana Mwanza
Kwanini hao photographer unadhani hawana muda na kutafuta picha mbeya? Au huo mji haupendezi? Au hakuna mahali pakuwavutia? Au hakuna mtu anayeipenda? Au wanaona aibu kupiga picha mbeya yao wataumbuka? Au ni mji wa ovyo ndio maana watu hawana muda?
CENTRAL BUSINESS DISTRICT nimekurudia tena.Hapo eweka kirefu Cha CBD ,maana yake Ni ipi?
Haupendezi au siyo? ππππ.rafiki angu kitombile.hiv mji kama haupendezi ,unapigaje picha
Unaleta kirefu Cha CBD au maana yake Hadi kuitwa hivyo?CENTRAL BUSINESS DISTRICT nimekurudia tena.
Ili jiji likamilike haya ni mambo ya muhimu si kujaza tu maghorofa mjini, na mwanza imetimiza haya, na sio park tu ina national park katikati ya jijiππππMji kukosa CBD maana yake uko disorganized na inappropriate.. majiji yenye organized plan ..Yana CBD , industrial park, settlement areas, city parks and recreation center...