Sasa na hiv ni vitu vya kujisifia kweliTule pozi tuone na wawekezaji wanasemaje
View attachment 2362218View attachment 2362219View attachment 2362220
Hahaha aliyejisifia Nana soma statement inasemaje
Huku hakuna uswazi kama huko kwenu Bali Kuna proper town planning huwezi Kuta barabara imejengwa ubavuni mwa nyumba..Kuna nyumba za watu kweli hapo me naoga giza na vichaka vya watu pembeni ya hiyo barabara.
Hilo jamaa ni choko achana nalo 😁😁Muwe mnatembea na maeneo mengine ya nchi sio kukaa ndani tu kama utumbo mala kashai kibeta kitendaguro kahororo.ihungo nyakanyasi ghana sasa miji mingine mtaijuaje?
Hilo jamaa ni choko achana nalo
Pale Bugando kuna tumajengo 4 tuu basi and no landscaping Wala Mandhari mazuri ya hospital kama ilivyo kwa Mbeya Zonal Referal Hospital
Eti 👇hii si bora hata butimba hospital
Nimekwambia hivi Bugando nzima ina tumajengo 4 na ni mbaya ina mandhari ya hovyo,hapo unageuza geuza tuu tupicha..
Lake Zone hatutaki ujinga
Nyie ni wajinga miaka yote..Lake Zone hatutaki ujinga