Acha ushamba nasi..unadhani mwanza ni jiji la makalioni kama huko usafwani ...Kwa Kina mwakatozoNi lini Mwanza itapata route ya Tanga?
Mbeya to Tanga
Ukipata jengo kama Hili Kanda ya Ziwa yote unitag..Hospital ya rufaa Kanda .bugando ..Kanda ya ziwa inabaki kuwa jamhuri inayoweza kujitegemea Kila sector View attachment 2336758
Ukipata jengo kama Hili Kanda ya Ziwa yote unitag..
Hospital ya Rufaa ya Mbeya,Idara ya mama na mtoto.. Modern and classic sio kama hayo mabweni mnajenga mnaita hospital
Beautiful and amazing..Uwekezaji mkubwa katika taaluma ...city college..wilaya ya magu ...View attachment 2336759View attachment 2336760
Unatia huruma kinomaBeautiful and amazing..
Chuo Cha Utumishi wa Umma Mbeya
Wivu utakuua..huo uchafu uliozungukwa na vijumba vya uswazi ...huwezi linganisha na hospital yenye hadhi kama hiiView attachment 2336772View attachment 2336774View attachment 2336775
Ni aibu.tupu kutuletea hospital chafu kama hii .. vijengo kama kituo Cha afya .Wivu utakuua..
Hospital ya Rufaa ya Kanda,Mbeya
Wewe endelea kujisemesha inakusaidia kupunguza maumivu mimi Kazi yangu kukupa dozi tuu hadi ujinyee..Ni aibu.tupu kutuletea hospital chafu kama hii .. vijengo kama kituo Cha afya .
Si bora hata ya mkoa sekotouereView attachment 2336806
Mimi Kazi yangu ni kukutandika nyundo tuu wewe jisemeshage..Unatia huruma kinoma
Lasima udate π₯π₯Ila huko kuna vumbi sana walai
Umenikumbusha kakonko huko kigoma kwenye kambi ya JKT...
Mnatia aibu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kusini huwezi pata chuo kikali kama hviLasima udate
Mzumbe University Mbeya Campus kama mbele yaani pande za Ankara