The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Kanda ya Ziwa yote huwezi Kuta Wadi kama hii ya Meta ππΎπππ πππππ ππππππππ ππ ππππππ ...,,..View attachment 2317468View attachment 2317469View attachment 2317470View attachment 2317471View attachment 2317472View attachment 2317473View attachment 2317474View attachment 2317475
ππππ.Hii Barabara ni nyundo moja matata Sana kwenye utosi wa Kanda ya Ziwa.π€π©πΆπ―πΊπ’ π΄πͺπ° π¨π³π¦π¦π― π€πͺπ΅πΊ
Mzee acha ushamba,hako kajengo kana nini hasa cha maana hadi kakuchanganye?ππππ ππ πΈππππ ππππππ πππππππ ππππ ππ ππππ πππ ππππ ππ πππ πππ ,ππππ πππππππ ππππ .......πππππ ππππ ππππ ππππππππππ πππππ πππππππππ ππππ π΅π± .View attachment 2317440View attachment 2317441
Bukoba ilishagaragazwa na Sumbawanga kitambo sana..πΎπππ πππππ ππππππππ ππ ππππππ ...,,..View attachment 2317468View attachment 2317469View attachment 2317470View attachment 2317471View attachment 2317472View attachment 2317473View attachment 2317474View attachment 2317475
Unaonyesha jijini ,mimi nakugonga kichogo na Kyela,mbali huko ππππππ ππ ππππ ..ππππππ ππππππ ππππ ππππππ ...π·πππ ππππ View attachment 2317445
Yani hawakubaligi kuwa southern zone tunakimbiza kwenye sekta ya kilimo. Na tunauwezo wa kuwalisha na ukanda wao wote!Habari hizi huwa ni mbaya sana kule Kanda ya Ziwa
Mbele Sana kwa kipi hasa? Waambie wakuonyeshe majengo ma 5 tuu yenye ghorofa kuanzia 5 kwenda juu,Njombe tutajibu kwa zaidi ya majengo 10..kahama ipo mbele sana. Ule mgodi unaibeba sana
Huku Rais huzindua Reli, madaraja mareefu,nk Rami hujengwa kila leo na huzinduliwa na mkuu wa mkoa tu au naibu waziri, kwa kuwa huko porini lami zinakuja kwa kulenga na manati na kwa kuwa hakuna miradi yoyote ya maana, basi wakaona Bora tu wampe Rais azindue tu hata hako kalami na mashamba ili tu apate Cha kufanya ziarani.Huna hoja..Kusini ni zaidi ya dhahabu huku kuna kila kitu.
Nyanda za Juu Kusini ni Nchi na nusu sio sawa na huko mnakouana hovyo kwa umaskini.
Kusini kumetengwa.
Soma hiyoo
Tutajie lami hata moja ambayo imesimduliwa na Mkuu wa Mkoa huko Kwenu Ili nifunge account yangu jf..Huku hizo Rais huzindua Reli, madaraja mareefu,nk Rami hujengwa kila leo na huzinduliwa na mkuu wa mkoa tu au naibu waziri, kwa kuwa huko porini lami zinakuja kwa kulenga na manati na kwa kuwa hakuna miradi yoyote ya maana, basi wakaona Bora tu wampe Rais azindue tu hata hako kalami na mashamba ili tu apate Cha kufanya ziarani.
Yote hayoNikajua umeweka namba kumbe umeandika stori za kutunga. Nasema hivi hamuwezi zidi hata kidogo,kuna basi zaidi ya 15 zinaondoka Mbeya kwenda Dar kila siku..
Hizo ngoma hapa zote zinatoka Mbeya.Driving on Southern Highlands Roads
Kusini kuna mavumbi alafu kumetengwa πππ¬ π¬Yote hayoooh! Kweli nimekumbuka masikini ndo wengi huko na umasikini wa usafiri wao ni basi ndege ni za matajiri, huku mabasi ni machache sana sababu watu huku wanapanda sana ndege.
Alafu hichi chuo mwaka jana nilienda ubaruku kule nikaambiwa mzinduzi ni kassim majaliwa sa sijui imekuajeKusini kuna mavumbi alafu kumetengwa
Samia atakuwa amemind sana aisee, ndo maana alikuwa haji, shughuli ya kuzindua chuo cha ufundi stadi nayo ni ya Rais!! Hata hivyo ndo tumiradi tulitopo hamna namna.Kusini kuna mavumbi alafu kumetengwa