Njombe kuna shida mahali.
Barabara za mitaa nyingi ni vumbi
Mji mzima vumbi.
Kuna upendeleo wa ujenzi wa barabara za mitaa (zinajengwa kule wafanyakazi wa halmashauri wanaishi)
Tanesco uzunguni barabara mbovu sana.
Halmashauri Njombe kuna mapungufu mengi. Waliohukumiwa sijui kama ni wao tu. Kama ni ubadhirifu sijui rushwa basi umefikia kiwango cha kutisha..
Mji hauna maji safi, maji ya mgao (inakuwaje?)
Mkoa una uzalishaji wa mazao ya biashara na chakula lakini maendeleo hayafanani na uzalishaji.. Wakinga wanajenga magorofa Dar kwao hata barabara za shida..
Picha za mashamba ya chai parachichi miti etc ni nadhifu lakini maendeleo kwa wananchi zero..
Kahama wako vizuri. Bishara umeuboresha mji. Wakazi wanajielewa..
Mji msafi na watu wake wasafi.