Kahama VS Njombe/Mafinga

Kusini kumetengwa Rais haji 😝😝

Chunya,Mbeya kule mahala dhahabu inatoka na kuwafaidisha watu wake..πŸ‘‡πŸ‘‡







 
Kila nyanja Kusini tunakimbiza.

Mkoa wa Songwe-Hospital ya mkoa na Wilaya πŸ‘‡πŸ‘‡





 
Tazama hapa miamba ya Kusini inazidi kufanya kweli KWenye sekta ya usafirishaji.πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Moja ya vitu vitakavyo utangaza mji wa makambako na mkoa wa njombe kimataifa ni viwanda vya madawa ambavyo ni vikubwa Africa mashariki na Kati vinaanza kazi mwezi wa kuminambili na viwanda vikubwa viwili vya kusindika parachichi na kutengeneza mafuta ambavyo vimefungwa mitambo inayo piga chata kuwa yametoka mkoa wa njombe na vyote hivyo vimejengwa mji wa makambako kazi inaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…