Kahama VS Njombe/Mafinga

Kanda ya ziwa mnahitaji msaada,imagine hadi Leo Kanda ya ziwa wakiongozwa na wasukumu bado wanaamini utajiri unaletwa na kumuozesha binti.Wakati southern Highland tukisomesha na kutoa mitaji kwa akina Mama na mabinti jamaa bado wanasubiri binti aolewe ndio familia ipate nafuu.Imagine wanakomaa na mahali wako tayari binti asiolewe kisa mahali haitoshi.Jamii hii haiwezi kushindana southern highland
 
Naona umekosa hoja hadi unacopy na kupest post za nyuma
 
Maji ni shida hadi masaki, Dar watu hawaogi sababu ya uhaba wa maji, na Rais kalizungumzia hilo leo hii akiwa Rocky City.

Ila kusini ni wa wakuonea huruma, na mbaya zaidi hatuwasaidii mtabaki na tabu zenu mpaka Yesu arudi, Mmetengwa mko matakoni mwa Tanzania
 
Kwenye wajinga wengi huwa ni mtaji kwa wanasiasa wengi Sana hususani Hawa wa ccm ndio maana wanashinda huko kuwa fool..

Wajinga ndio waliwao😝😝
 
Kwenye wajinga wengi huwa ni mtaji kwa wanasiasa wengi Sana hususani Hawa wa ccm ndio maana wanashinda huko kuwa fool..

Wajinga ndio waliwao
Ndoto nyingine bhuana, nimelala nikaota SGR inahamishwa kutoka Dsm-Mwanza mpaka Dsm-Njombe, serikali imeona Njombe itarudisha fedha za mkopo haraka kuliko Mwanza
 
Ndoto nyingine bhuana, nimelala nikaota SGR inahamishwa kutoka Dsm-Mwanza mpaka Dsm-Njombe, serikali imeona Njombe itarudisha fedha za mkopo haraka kuliko Mwanza
Sgr sio kipaombele kwa sasa huku Njombe, kipaombele ni barabara na parachichi..

Hiyo sgr itajengwa kutoka makambako Njombe liganga/ mchuchuma to Mtwara ..

Sisi kipaombele ni πŸ‘‡



 
Kila siku nakwambia anaenda walikojaa wajinga Ili kuwa fool..

Wajinga ndio waliwao.

Sweet Mbeya πŸ‘‡











 
Huyo jamaa ni msukuma kutoka lake zone ndio hao wamezoea kulala ndani na mifugo na kiwafanyia kitu mbaya na unajisi.

Ukiona jamii ina laana ya albino jua sababu ndio hiyo sasa bila kusahau Kanda.Kwa hiyo tumempokea afu anadharirisha mkoa wetu wa wastaarabi.

Meanwhile πŸ‘‡

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…