Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Zilipendwa ππππ..Zilipendwa tupa kule wewe kitimoto, saiz mambo iko hiviView attachment 1981221View attachment 1981222View attachment 1981223View attachment 1981225
Zinadanganyaje sasa kwa mfano, ina maana wenyeuwezo wa kujikimu msosi hapo njombe ni 46% tuZilipendwa..
Sio mimi ni Serikali,namba hazidangayi na picha zinaonesha uhalisia
View attachment 1981227
View attachment 1981228
View attachment 1981229
ππππ Nimecheka yaani 70% ya maskini wa Mwanza wanaishi milimani kweyslums kama nguruwe pori..Zinadanganyaje sasa kwa mfano, ina maana wenyeuwezo wa kujikimu msosi hapo njombe ni 46% tuView attachment 1981230View attachment 1981231
Wanakaa mlimani wanakula vizuri wanashiba, vipi hawa ambao hata kula kwao ni shidaNimecheka yaani 70% ya maskini wa Mwanza wanaishi milimani kweyslums kama nguruwe pori..
Maisha bora ya wazee wa kuongoza GDP
View attachment 1981234
Wanaokula vizuri hawawezi kuishi kama kitimoto πππWanakaa mlimani wanakula vizuri wanashiba, vipi hawa ambao hata kula kwao ni shida, yaani wanakula mlo mmoja wa kusuasua, wamekondeana na kudumaaView attachment 1981236
Njombe gani unazungumzia? Njombe inayojulikana Tzn ni Nchi ya asali na maziwa πZinadanganyaje sasa kwa mfano, ina maana wenyeuwezo wa kujikimu msosi hapo njombe ni 46% tuView attachment 1981230View attachment 1981231
Njombe gani unazungumzia? Njombe inayojulikana Tzn ni Nchi ya asali na maziwa
View attachment 1981495
View attachment 1981496
View attachment 1981500
Uongooooo mtupuNdio maana yake,kwani Nigeria haiongozi kwa GDP? Si ina maskini wengi kuliko nchi yoyote Afrika?
Tzn iko top 5 ya nchi zenye maskini wengi Afrika sanjali na Nigeria,Ethiopia,DR Congo,Tzn na Madagascar..
Mikoa inayochangia Hawa maskini ni Lake zone yaani mikoa yote 6 ni maskini,nyie watu fanyeni Kazi acheni uvivu mnatutia aibu huko Duniani.
Shikilia hapo hapo kwenye mshonooWanakaa mlimani wanakula vizuri wanashiba, vipi hawa ambao hata kula kwao ni shida, yaani wanakula mlo mmoja wa kusuasua, wamekondeana na kudumaaView attachment 1981236
Mdumavu akileta fujo atapigwa tu, hamna namna, tumechokaShikilia hapo hapo kwenye mshonoo
Apigweeemdumavu huyo
Wakati Nigeria ikiwa poverty capital of The World kwa Tzn hapa makao makuu ya Umaskini ni Lake Zone ndio mnatutia aibu Sana hapa Africa ππ..Uongooooo mtupu
Leta takwimu za nchi hizo kutoka source inayojulikana
Sio huu uwongo wako
Msosi ni shida kwao ππ Ona sasa kwenye msosi kulivyo ,, Poverty capital of Tanzania πππ53.6% msosi ni shida kwao, wamedumaa na kukondeana
Huko kuna maji, umeme na wanakula vizuri wanashiba, na karibu yao tu hapo Kuna hospitali kuuubwa ya rufaa, tuje sasa kwa wale wadumavuMsosi ni shida kwaoOna sasa kwenye msosi kulivyo ,, Poverty capital of Tanzania
View attachment 1982203
View attachment 1982204
Huko kuna maji, umeme na wanakula vizuri wanashiba, na karibu yao tu hapo Kuna hospitali kuuubwa ya rufaa, tuje sasa kwa wale wadumavu, kuuona msosi tu mbinde, wamekondeana wee miili imedumaa kwa kukosa lisheView attachment 1982211
Tukikosa chakula nyie maskini mtakufa,food busket iko Kusini ndio maana hata taarifa hiyo hapo juu inasema mikoa yenye chakula kingi ,sasa wewe kenge unaongea ujinga kujifariji tuu..Huko kuna maji, umeme na wanakula vizuri wanashiba, na karibu yao tu hapo Kuna hospitali kuuubwa ya rufaa, tuje sasa kwa wale wadumavu, kuuona msosi tu mbinde, wamekondeana wee miili imedumaa kwa kukosa lisheView attachment 1982211
We nguchiro, taarifa inasema mikoa ya manamba yanayolima sana na kuuza chakula chote kwa bei chee cha mabwana zao kisha tupesa tunatopatika kutunywea ulanzi na kubaki na njaa kali kiasi cha kudumaa na kukondeanaTukikosa chakula nyie maskini mtakufa,food busket iko Kusini ndio maana hata taarifa hiyo hapo juu inasema mikoa yenye chakula kingi ,sasa wewe kenge unaongea ujinga kujifariji tuu..
Ufukara wenu na maisha ya kuishi kama nguruwe yanalitia hasara Nchi yetu ndio sababu ya kuzaa maalbino,,natamani tugawane maana tunaaibika wote wakati ni wapumbavu wa Lake zone ndio mafukara
View attachment 1982241
View attachment 1982242
Huto tubarabara tumejenga sie kwa ajili ya kuja kukwangua msosi wote ili nyie mbaki na utapiamlo. Sio kwa ajili yenu wanautapiamlo hiyo.Ukipata sehemu yoyote nzuri kama hii huko poverty capital of Tanzania nitag
Chunya
View attachment 1982255
ππ Mgeanza kujenga huku Ili mpunguze ufukara πHuto tubarabara tumejenga sie kwa ajili ya kuja kukwangua msosi wote ili nyie mbaki na utapiamlo. Sio kwa ajili yenu wanautapiamlo hiyo.